Chanika zinapatikana. Licha ya ubora wa Hali ya juu ya mbao hizi, mafundi wengi hawatakuambia uzitume. Nilipokuwa Nataka kuezeka ndipo nilipozitambua hizi mbao. Mafundi wengi niliozungumza nao hawakuzipendekeza Kwa maslahi Yao. Ila fundi mmoja ndiyo anapenda kuzituma hizo mbao. Alipokuja tu...
Wewe unauelewa wa masuala ya sheria. Na hapo unazungumzia makosa ya jinsi ambapo hilo la kumhamanikia kwa Lisu ni miongoni mwayo. Kwa makosa ya jinai, Jamhuri ndiyo yenye wajibu na dhamana ya kushitaki. Hilo ni suala la sheria. Kwa anayekupinga, ni katika kudhihirisha kauli kwamba asiye na...
Karibu unaonaje na Dkt Edwin
Jaribu ukaonane na Dkt Edwin katika hospitali ya Regency iwapo katika pitapita yako ya matibabu hukuwahi kuonana naye. Ni kujaribu.
Wauzaji wa hizo mbao wanakuchania hapo hapo kwa mashine. Bei ya kuchana siyo kubwa. Umwone huyo fundi. Akupeleke hapo zinapouzwa ili uulize gharama hasa baada ya fundi kukukadiria mbao zinazohitajika katika boma lako. Ukishafanya tathmini ufanye maamuzi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.