Recent content by LIKONG'ONDA

  1. L

    Mnaoishi Mabwepande au Chanika na kufanya kazi Posta mnaamka saa ngapi ili kuwahi ofisini?

    Nami nimeiona. Chanika! Chanika! Chanika kuzuri jamani!
  2. L

    Kama unataka paa lako liwe imara tumia mbao za mlingoti

    Chanika zinapatikana. Licha ya ubora wa Hali ya juu ya mbao hizi, mafundi wengi hawatakuambia uzitume. Nilipokuwa Nataka kuezeka ndipo nilipozitambua hizi mbao. Mafundi wengi niliozungumza nao hawakuzipendekeza Kwa maslahi Yao. Ila fundi mmoja ndiyo anapenda kuzituma hizo mbao. Alipokuja tu...
  3. L

    Kutana na fundi rangi, kuna mengi ya kujifunza

    Kazi zinapendeza, plasta pia una nudu? Iwapo ndiyo, gharama za ufundi unakadiriaje?
  4. L

    Nahitaji Mafundi wa Kufanya Skimming, kupiga rangi, kuweka Tiles, na gypsum

    Kwa jinsi kazi waliyoifanya inavyoonekana, ni dhihiriko kuwa hao ni mafundi wazuri kwa finishing. Nahitaji kupata mawasiliano yao.
  5. L

    Tundu Lissu ndiye mtu Jasiri zaidi Tanzania tangu tupate Uhuru

    Wewe unauelewa wa masuala ya sheria. Na hapo unazungumzia makosa ya jinsi ambapo hilo la kumhamanikia kwa Lisu ni miongoni mwayo. Kwa makosa ya jinai, Jamhuri ndiyo yenye wajibu na dhamana ya kushitaki. Hilo ni suala la sheria. Kwa anayekupinga, ni katika kudhihirisha kauli kwamba asiye na...
  6. L

    Ninaomba msaada wa kimawazo au ushauri wa kutatua changamoto ya usikivu mdogo (Hearing loss) au kupunguza adha zake

    Karibu unaonaje na Dkt Edwin Jaribu ukaonane na Dkt Edwin katika hospitali ya Regency iwapo katika pitapita yako ya matibabu hukuwahi kuonana naye. Ni kujaribu.
  7. L

    Uzi wa kujifunza lugha ya Kiswahili

    Kuna tofauti baina ya mjuzi na mweledi?
  8. L

    NAOMBA USHAURI: Hizi mbao zilizoko sokoni hapa Dar ni zipi zafaa kwa kupaulia nyumba ya kuishi? naziona kama nyepesi sana

    Wauzaji wa hizo mbao wanakuchania hapo hapo kwa mashine. Bei ya kuchana siyo kubwa. Umwone huyo fundi. Akupeleke hapo zinapouzwa ili uulize gharama hasa baada ya fundi kukukadiria mbao zinazohitajika katika boma lako. Ukishafanya tathmini ufanye maamuzi.
Back
Top Bottom