Recent content by LIKONG'ONDA

  1. L

    JamiiForums Tanzania Kiswahili chapigiwa chapuo Misri

    Sawasawa. Kizidi kutamalaki hadi kuzuke mshangao.
  2. L

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Kada wa CCM: Mnadhani kuna chama cha kushindana na CCM? Achaneni na no reforms no election

    We si wa mchezomchezo! Mm! We si wa mchezomchezo!
  3. L

    JamiiForums Tanzania Utabiri: Lissu kuachiwa kabla ya Mei 19

    Kauli zako zimenichekesha mno.
  4. L

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kutafuta wateja, kwa freelancers, wafanyabiashara, agency owners, watoa huduma na biashara yoyote inayotegemea watu kuuza

    Wengine bado hatujui namna ya kuingia dm / Pm. Ungeweka angulau namba ya WhatsApp.
  5. L

    JamiiForums Tanzania Jinsi ninavyotengeneza pesa mtandaoni kwa kutumia ujuzi wa graphics design, na wewe unaweza kujaribu

    Hivi hapa Jamiiforum iwapo unataka kuwasiliana na mtu DM au wengine kama sikosei wanaita PM unafanyaje? Jambo hili limenitatiza kwa mda mrefu sana.
  6. L

    JamiiForums Tanzania Askari Korea Kaskazini waasi Urusi

    W Watu mnajua sana kuchekesha!
  7. L

    JamiiForums Tanzania Naomba Kuelimishwa Hichi Kitu Kwenye Kampuni

    Ninachojua kufungua kampuni Kwa mujibu wa sheria za Tanzania, ni lazima wamiliki waanzilishi wawe kuanzia wawili. Hiyo kanuni naiona ni changamoto kubwa kwani maono na ndoto za Maisha ni za mtu binafsi. Sasa ikiwa unataka baadaye kampuni irithishwe kizazi chako ambapo wakati wa kufungua huna...
  8. L

    JamiiForums Tanzania Usithubutu kamwe kuandikisha hati ya nyumba, gari au kiwanja kwenye majina ya mke wako it will end in tears

    Ndugu naomba ufafanuzi wa kina kidogo kuhusu jambo hilo. Nadhani una ujumbe na ufahamu muhimu unaoweza ukasaidia. Sielewe kuhusu Shell Companies kama ulivyodokeza.
  9. L

    JamiiForums Tanzania Eng. Hersi Said: Mimi sio mfanyakazi wa Yanga, Sipo kwenye orodha ya wanaolipwa na Yanga

    Mm! Wewe kwa kulazimisha kile unachokifahamu bila kuacha mwanya wa maarifa mapya hatujambo.
  10. L

    JamiiForums Tanzania Mnaoishi Mabwepande au Chanika na kufanya kazi Posta mnaamka saa ngapi ili kuwahi ofisini?

    Nami nimeiona. Chanika! Chanika! Chanika kuzuri jamani!
  11. L

    JamiiForums Tanzania Fahamu kuhusu Kampuni za Mfukoni-Briefcase Corporations

    Hiyo VRN ni nini?
  12. L

    JamiiForums Tanzania Lukashenko: Wagner wananisumbua wanataka waingie Poland kusalimia

    Karibu MPITIMBI tule Mangatungu
  13. L

    JamiiForums Tanzania Kama unataka paa lako liwe imara tumia mbao za mlingoti

    Chanika zinapatikana. Licha ya ubora wa Hali ya juu ya mbao hizi, mafundi wengi hawatakuambia uzitume. Nilipokuwa Nataka kuezeka ndipo nilipozitambua hizi mbao. Mafundi wengi niliozungumza nao hawakuzipendekeza Kwa maslahi Yao. Ila fundi mmoja ndiyo anapenda kuzituma hizo mbao. Alipokuja tu...
  14. L

    JamiiForums Tanzania Wapi Dar naweza kupata kiwanja cha milioni mbili?

    Zingiziwa
  15. L

    JamiiForums Tanzania Kutana na fundi rangi, kuna mengi ya kujifunza

    Kazi zinapendeza, plasta pia una nudu? Iwapo ndiyo, gharama za ufundi unakadiriaje?
Back
Top Bottom