Mwizi aliyekamatwa na polisi bila usumbufu na mjumbe shuhuda, anauawa kwa kosa lipi?
Na siyo polisi wanaoyufundisha tusichukue sheria mkononi?
Usishabikie hali hii, leo kwake kesho kwako na kama siyo kwako basi nduguye litampata. Utajisikiaje?
Kwa muda sasa redio yangu haina remote kitu ambacho hunifanya ili nibadilishe njia ya matumizi ya redio au tv kunilazimu nisimame nikabonyeze button.
Je, ninaweza kupata remote yenye uwezo wa kuendesha redo yoyote?
Au ninaweza kupata remote ya redio husika ambayo ni Topsonic (mchina)?
Hizi ahadi za kingese kuna siku zitamgharimu mtu.
Kuna mwaka mmoja nilikuwa kanda ya kati. Watu wakawekeana ahadi juu ya matokeo ya simba na yanga.
Moja aliweka rehani ng'ombe na mwingine lilikuwa shamba.
Kwa bahati mbaya aliyewekea ng'ombe (mshabiki wa yanga), timu yake ikafungwa na ng'ombe...
Waziri mkuu alijua kinachoendelea.
Siku alipotamka kuwa Rais mzima anaendelea na kazi, alikuwa Njombe. Lakini za chini ya kapeti alikuwa anatembelea vikosi vya jeshi vya mipakani kwa siri kuweka mambo sawa.
Moja ya ziara alizokatisha ilikuwa kutembelea makaa ya mawe Nchuchuma Ludewa...
Usimpongeze kwanza.
Hana hela ya kumpa demu ndiyo maana anamwita jini. Akipata pesa atamwomba radhi kwa kutuuma hela halafu akiangalia picha ya ngamia, atampiga mpunga mrefu ili warudiane.
Hapo hakuna kijana. Ni vuvuzela tu huyu. Unamlipia demu pango 1.4m halafu hela ya kula mama mzazi 3k...
Mwana umenena kwa kweli. Na chanzo cha usaliti huwa ni hapahapa.
Mwanaume unayatimba halafu unajifanya mbabe. Atanyamaza ila akipata nafasi ya kushauriwa na mwanaume mwenzako tu, ameliwa naye.
Kumaliza tofauti kati ya wanandoa ni muhimu sana tena kwa wakati.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.