Nini kitatokea iwapo uko mbele ya hakimu aliyekushuhudia ukivunja sheria, ila ushahidi aliyoletewa kwa ajili ya kukuhukumu unaonesha hauna hatia?

Mar 10, 2024
93
179
Mfano hakimu kakushuhudia ukiiba, alafu hakimu huyo huyo ndiye anayekuhukumu akapelekewa ushahidi unaosema huku husika na tukio hilo.

Nini kitatokea wana JF?
 
Mfano hakimu kakushuhudia ukiiba, alafu hakimu huyo huyo ndiye anayekuhukumu akapelekewa ushahidi unaosema huku husika na tukio hilo. Nini kitatokea wana JF?
Hawezi kuhusu kwa hisia zake hata kama aliona. Atahukumu kwa ushahidi usioshaka.
 
Badala ya kuwa Hakimu Kuhukumu atakuwa Shahidi ili kutoa Ushahidi hivyo atakayekuwa Hakimu ni mwingine....
 
Hawezi kuhusu kwa hisia zake hata kama aliona. Atahukumu kwa ushahidi usioshaka.
Hiyo imekaaje? Ni sawa?

Mfano umeshuhudia jitu limebaka mtoto hadi limeua alafu unaletewa ushahidi wa kulihukumu unaosema hana hatia. Utafuata ushahidi au macho yako? Hiyo ni kwa wewe ndo tutolee mfano?
 
Bobu ndo kesi hiyo kashapangiwa aruke nayo na kashuhudia msala.
Unapangiwa Kesi kabla tukio halijatokea ? Niambie how is that Possible ?
Labda aipige pige kalenda.
Nope rahisi sana anajitoa tu kwa sababu zilizopo kwamba alishuhudia.., ni kama vile tu kuhumu mtu aliyemuua ndugu yake (itaonyesha Bias)
Justice must not only be done, but it must also be seen to be done.”
 
Back
Top Bottom