Uko sahihi kabisa mama rwakatale ni mndamba small tribe inside wapogoro wa mngeta eneo mchombe..... Angesema mndamba asinge eleweka vizuri ila ukisema mpogoro au mruguru mtu anajua ni morogoro mirahisi
Sent using Jamii Forums mobile app
India kubaka ni issue na inachukuliwa kwa uzito mkubwa ni common crime ya 4 against wanawake na mwaka 2003 takwimu ili zaidi ya 24,000 ya wanawake walibakwa kwa kule kuuwa mtu si issue kubwa kama kabaka .....
Jamaa mkenya Eric alikuwa na miaka 26 na issue ilitokea state ya Tamil Nadu na siyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.