October man
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 3,632
- 5,023
Tecno L9+
Ram 2GB
Internal 16GB
Offer 190,000/=
available.
Ram 2GB
Internal 16GB
Offer 190,000/=
available.
unanunua chs kufanya unabeba na elfu 50 mnaelekeana Polisi kuuzianaDah hii kitu siwezi isahau kwenye maisha yangu acha Mungu tu aitwe Mungu yaani kwa sasa hata Mtu auze S9 laki 2 na iwe Og. Nikupita tu hiviiiiii.
Tecno phantom 6 ram 3gb internal 32gb ina 4g View attachment 905359
Tecno L9+
Ram 2GB
Internal 16GB
Offer 190,000/=
available.
Yeah hii ndo idea nzuri sana kwa hizi simu za mikononi maana kama hufahamu unaweza siku kuta unabeba kesi ya kichwa hatari sana kizembe unapotea na si kila simu utanunua useme unabadiri imei huu ni uongo na kwa haraka haraka huwezi waza kitu kama hiki.unanunua chs kufanya unabeba na elfu 50 mnaelekeana Polisi kuuziana
hapo sahau MTU kukukamata
Nahitaji S/Galaxy S9 Edge+ ni PM
UPO WAPI MKUUUpo wapi? nina Samsung A8
RAM 2 GB
Internal 32 GB
270,000 tu
ninakiasi cha kati ya laki moja na nusu mpaka laki mbili na nusu nahitaji simu yenye ram above 2gb au 2gb ila iwe na condoition nzuri
sumsung tecno nokia au uawei nipe jina la simu na bei yake sihitaji tecno spark kama common , na ma k
250000 Bora ukanunue kuku wa kienyej ufugeninakiasi cha kati ya laki moja na nusu mpaka laki mbili na nusu nahitaji simu yenye ram above 2gb au 2gb ila iwe na condoition nzuri
sumsung tecno nokia au uawei nipe jina la simu na bei yake sihitaji tecno spark kama common , na ma k
MbeyaUPO WAPI MKUU
NJOO INBOX NA PICHA TUMALIZANE
niongezee elfu 50 nikuuzie oppo A85 Ram 3 gb internal 32 gb nichek whatsapp 0763772636ninakiasi cha kati ya laki moja na nusu mpaka laki mbili na nusu nahitaji simu yenye ram above 2gb au 2gb ila iwe na condoition nzuri
sumsung tecno nokia au uawei nipe jina la simu na bei yake sihitaji tecno spark kama common , na ma k
Ipo SAMSUNG GRAND PRO ...bei 250000 unataka lini? Nipo Darninakiasi cha kati ya laki moja na nusu mpaka laki mbili na nusu nahitaji simu yenye ram above 2gb au 2gb ila iwe na condoition nzuri
sumsung tecno nokia au uawei nipe jina la simu na bei yake sihitaji tecno spark kama common , na ma k
Njoo PM HTC desire 826 bado mpya ram 2 GB 16ninakiasi cha kati ya laki moja na nusu mpaka laki mbili na nusu nahitaji simu yenye ram above 2gb au 2gb ila iwe na condoition nzuri
sumsung tecno nokia au uawei nipe jina la simu na bei yake sihitaji tecno spark kama common , na ma k
Ongeza laki na 75 uchukue I phone 6ninakiasi cha kati ya laki moja na nusu mpaka laki mbili na nusu nahitaji simu yenye ram above 2gb au 2gb ila iwe na condoition nzuri
sumsung tecno nokia au uawei nipe jina la simu na bei yake sihitaji tecno spark kama common , na ma k
Haha! Ilikuaje mkuu?Dah hii kitu siwezi isahau kwenye maisha yangu acha Mungu tu aitwe Mungu yaani kwa sasa hata Mtu auze S9 laki 2 na iwe Og. Nikupita tu hiviiiiii.