Follow upNaomba kuuliza kuna yeyote aliye omba kazi ya MAIL CLERK humu au vipi kama washaitwa , maana wiki ya nne hii inaisha ......
Kashikwa na kihoroMkuu mbona mlielezwa vizur kwani Leo wiki ya ngapi? Utaiweza hiyo kaz kweli kama detail hiyo ndogo shida
Ok ..... sasa nimekuelewa nisha kosa hii, thankx anywayNi kweli.
View attachment 910539
pole mkuuOk ..... sasa nimekuelewa nisha kosa hii, thankx anyway
Mkuu mbona mlielezwa vizur kwani Leo wiki ya ngapi? Utaiweza hiyo kaz kweli kama detail hiyo ndogo shida