Recent content by Lignocaine

  1. Lignocaine

    JamiiForums Tanzania Msajili awapiga rungu jingine CHADEMA, kwa madai Sugu kuongea lugha za matusi, dhidi ya wanasiasa wenzake

    Msajili afanye anachokiona kinafaa kutokana na maelekezo ila ipo siku
  2. Lignocaine

    JamiiForums Tanzania Baraza la Wafamasia kwa nini hamtoi matokeo?

    Mitihani si ilivuja Tulia watakuja na majibu
  3. Lignocaine

    JamiiForums Tanzania Hivi ikitokea Katika itifaki kiongozi kapata tumbo la kukata inakuaje?

    Viongozi wa dini pia katika maadhimisho yanayotumia muda mrefuu Kuna mmoja aliwahi sema maji ya kunywa unachanganya chumvi na sukari hutoki short call
  4. Lignocaine

    JamiiForums Tanzania Avn number

    Baada ya siku kama 7 nilipata control no apa imebaki kulipia tu nione wataniambia nn tena
  5. Lignocaine

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini tunavaa pete ya ndoa mkono wa kushoto?

    Askofu Kadinali Papa Wanapowekwa wakfu huvikwa Pete mkono wa kulia
  6. Lignocaine

    JamiiForums Tanzania Avn number

    After application “Your application for AVN is received and pending for verification, will be informed via email & sms Its status is 119:48 hours” Si miyeyusho hii
  7. Lignocaine

    JamiiForums Tanzania Nimegundua, viongozi wa Serikali yetu hawana huruma hata kidogo kwa Wananchi

    Siku ya saba ambapo Mungu alipumzika ndipo Shetani alipoumba viongozi wa Africa
  8. Lignocaine

    JamiiForums Tanzania Kuna Uhusiano gani kati ya kanisa na serikali?

    Angalia idadi ya watu ambao ni wafuasi wa makanisa hayo Hao wanasimama kama wawakilishi wa waumini wao.. ni mara ngapi viongozi wanaowawakilisha wananchi wanashindwa kutetea maslahi ya wananchi
  9. Lignocaine

    JamiiForums Tanzania Kanuni ya mfungaji bora wa ligi kuu NBC inasemaje? Tuwekeeni vifungu

    Kupunguza migogoro na mijadala isiyo na mantiki kila mmoja apewe zawadi yake Kama magoli ya penalty sio magoli basi yasiwe yanahesabika katika kuonyesha idadi nani anaongoza katika ufungaji
  10. Lignocaine

    JamiiForums Tanzania Kanuni ya mfungaji bora wa ligi kuu NBC inasemaje? Tuwekeeni vifungu

    Kiuhalisia wote wana deserve kupata zawadi sawa ya top scorer Ukisema baada ya kulingana magoli ndipo uangalie magoli ya penalty Je ingelikua Mayele hajafunga goli leo si angesalia na magoli 16 akiwa nyuma ya Ntibazonkiza kwa goli moja.. naam hiyo tofauti ingemfanya antibiotic kuwa kinara lakin...
  11. Lignocaine

    JamiiForums Tanzania Uchambuzi wa Mkataba wa kuendesha bandari ya Dar es Salaam kati ya Tanzania na Dubai

    P W BOTHA About African ‘Give them power they will steal all government money’
  12. Lignocaine

    JamiiForums Tanzania FT: CAFCC FINAL 22/23 Second Leg | USM Alger 0-1 Yanga SC 03/06/2023

    Safari ya chizi umbali mrefuuu mwisho anarudi na makopo Poor utopolo
  13. Lignocaine

    JamiiForums Tanzania Vigezo vya kufungua pharmacy

    BIG NO
  14. Lignocaine

    JamiiForums Tanzania Vigezo vya kufungua pharmacy

    Ku simplify mchakato pamoja na haya uliyoyaeleza nyooka na mfamasia wa wilaya kama pharmacy unayotaka kifungua iko makao ya mkoa nyooka nao wote wawili (wa wilaya na mkoa)
Back
Top Bottom