Mtoto wa kike 16yrs na mtoto wa kiume 16yrs ni tofauti sana, watoto wote wanapaswa kupewa elimu Rika, kwaajili ya kuwajenga kisaikolojia. Inapofika stage unampa uhuru wa kumiliki smartphone unakuwa umejihakikishia kwamba madhara hayatakuwa makubwa sana.
Kuna link za magroup ya uchafu,Kuna...
Sasa hivi kukutana ni hizo content kwenye mitandao ya kijamii ni kawaida, hata Kama siyo mapenzi, hapo akili kichwani kwako tu.
Himiza madogo, ikiwezekana wasitumie simu, mpaka Muda sahihi utakapofika. 🌎 Imeharibika.
Ukitaka kutongoza mwanamke kuwa real, ongea kile unachofeel, confidence ni muhimu sana, Kama mwanamke hajavutiwa nawewe, na Hauna confidence, unapoteza credit.
Usiwe na matarajio mkubwa, just enjoy kumwambiya unachofeel.
Sipendi kuona haya Mambo yakijadiliwa kwa muktadha wa kidini, lazima kutakuwa na upendeleo kwenye kujadiliana.
Nini hasa chanzo Cha huu migogoro kisiasa? Nimeshindwa kuelewa kwanini Trump amtangaze uhuru kwenye nchi ambayo siyo yake?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.