Recent content by Lighton

  1. Lighton

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Rais Samia aunda Tume ya Uchunguzi wa Kijinai wa Matukio ya Ghasia za Uchaguzi mwaka 2025

    Hizi ni hatua za awali kuelekea kufanya maridhiano, ila shida ripoti zinakuja na uongo mwingi, wananchi wamepoteza imani na serikali yao, wamejifunza vingi kupitia matukio ya oct29. Huyu ile falsafa yake ni bure kabisa hana uwezo wa kuitekeleza akili zake ni ndogo sana☹️
  2. Lighton

    JamiiForums Tanzania Full Time: Yanga SC 0-1 Simba SC| Muungano Cup Final | New Amaan Complex | 29.04.2026. Simba abeba Ubingwa

    Utopolo anakufa vibaya kabisa kunako fainali ya mapinduzi
  3. Lighton

    JamiiForums Tanzania Atletico Madrid 1-1 Arsenal | UEFA Semi Final First Leg | Riyadh Air Metropolitano | 29 Aprili 2026

    Asenyani wako hatarini kupoteza game Ila dakika 90 zitaongea
  4. Lighton

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vijana kuweni makini usiloweka kama hujacheki afya na huyo Binti usidanganywe na uzuri wa njee

    UTI ni hatari sana
  5. Lighton

    JamiiForums Tanzania Kifo chenye utata cha Hayati Magufuli ndio chanzo cha CHADEMA kupata nguvu na kupendwa na Watanganyika

    Kwahiyo magufuli alihusika na mauaji ya oct 29, wewe ni kiraza
  6. Lighton

    JamiiForums Tanzania How are you feeling? Unajisikiaje? 😐 - karibu tuzogoe!

    Niliwahi kusikia wewe ni gasho, na kauli zako zinafafanua tabia zako.
  7. Lighton

    JamiiForums Tanzania Kifo chenye utata cha Hayati Magufuli ndio chanzo cha CHADEMA kupata nguvu na kupendwa na Watanganyika

    Walioharibu demokrasia kwa kiwango kikubwa tunawaona mpaka Leo na hakuna Mambo ya maana wanayofanya zaidi ya kujimilikisha Mali, genocide na kupendeleana kwenye madaraka na taasisi za kiserikali.
  8. Lighton

    JamiiForums Tanzania How are you feeling? Unajisikiaje? 😐 - karibu tuzogoe!

    Naamka asubuhi, nasali,naenda kuoga, nakula weed naenda kazini nachapa kazi kwa nguvu zangu zote then narudi home kabla ya kupiga Tena weed nasali kumshukuru MUNGU kwa kunilinda then weed, kuoga, kula, kulala. Ila bei ya mafuta ndo changamoto, nafikiria kufunga mtungi wa gesi.
  9. Lighton

    JamiiForums Tanzania Kutoka vipele kwenye uume

    Sasa mkuu hujaweka picha unategemea msaada wa nabii?
  10. Lighton

    JamiiForums Tanzania Ukisikia Total-Blockade ndiyo hii sasa, Mlango bahari wa Hormuz hapiti yeyote bila idhini ya US!!!

    Unahangaika mkuu hao jamaa wameteseka Miaka 8 na hii vita ya Sasa bado hata miezi 2 haijafika. Marekani ni blah blah tu subiri uone.
  11. Lighton

    JamiiForums Tanzania Kifo ni nini hasa? Is death really a right or a mystery we don’t understand?

    Achana na kwamba "KIFO NI KIFO TU"
  12. Lighton

    JamiiForums Tanzania PICHA: Binti Wa William Lukuvi Katika Huzuni Kubwa Ya Kumpoteza Baba Mzazi. Mungu Ampe Nguvu na Faraja katika kipindi Hiki kigumu

    Nakumbuka tarehe kama ya Leo October mwaka Jana nilikuwa na mawazo sana juu uonevu na mabavu ya mabeberu, now they feel the real taste😋 Mtoa mada nasubiri picha Kama hii ya yule wanu.
Back
Top Bottom