Recent content by Lighton

  1. Lighton

    JamiiForums Tanzania Natafuta mume umri kuanzia miaka 34 hadi 45 ili tumalizie pamoja maisha yetu yaliyobaki hapa duniani

    Kuna jamaa anaitwa Natafuta Ajira huwa anapinga sana haya mambo
  2. Lighton

    JamiiForums Tanzania Ajali ya Treni kugongwa na gari imesababisha kifo

    wakuu mmeamkaje, mimi niko salama. Mods naomba mnisaidie kurekebisha kichwa cha habari kama mada haitaendana na nitakachoandika. Majuzi mishale ya saa sita usiku ilitokea ajali mbaya sana ambapo treni iligongwa na gari, maeneo ya kipunguni relini, barabara ya kuelekea moshi bar, kwa wale watu...
  3. Lighton

    JamiiForums Tanzania Wanaume pendeni usafi, mnanuka makwapa

    Sasa hivi kuna vile visplash vya 2k mtu hawezi shindwa kama anajijali.
  4. Lighton

    JamiiForums Tanzania Unapopatwa na huzuni, hasira, msongo wa mawazo AU maumivu ya moyo... Tulizo lako ni nini?

    Nakula weed then naenda kuoga nalala, nikiamka nakuwa mpya kabisa.
  5. Lighton

    JamiiForums Tanzania Madeni: Je, umewahi kudaiwa mpaka ukajuta kwanini ulikopa?

    Mimi nina madeni kibao na sina hata presha naishi kwa amani kabisa.
  6. Lighton

    JamiiForums Tanzania Ukweli Humuweka Mtu Huru: Nimechoka Kujiuza, Nimechoka.

    Me mwenyewe nimechoka kupiga kila aina ya nyapu, sasa hivi najitahidi kupunguza, nipo hatua nzuri kufikia lengo, lakini bado nazichapa, last time ilikuwa sunday now inaenda kutimia week. Ni hatua kubwa kwasababu nilikuwa nazichapa karibia 3×3. Now nasali asubuhi na usiku wakati wa kwenda kulala...
  7. Lighton

    JamiiForums Tanzania 2026 FIFA World Cup - Special Thread

    Sasa hivi ni ngumu kutabiri nani anashinda kwenye hizi hatua zililizobaki, game huwa zinabadilika sana. Mechi ya leo inaisha ndani ya dakika 90
  8. Lighton

    JamiiForums Tanzania Sex inamdhalilisha sana mwanamke

    Kwakweli
  9. Lighton

    JamiiForums Tanzania Sex inamdhalilisha sana mwanamke

    venyewe vanasema ukipewa mbususu ichape kwelikweli
  10. Lighton

    JamiiForums Tanzania Kushabikia Ureno 🇵🇹 ni sawa na kuwa na demu kicheche

    Mimi sishabikii ureno, ila nilitamani Ronaldo angeshinda WC, ni kama nilivyotamani messi ashinde WC
  11. Lighton

    JamiiForums Tanzania Ila wadada mmh, ni wachafu sana

    Hapana mkuu hata hawa ambao wanakuja geto mara kwa ni wachafu.
  12. Lighton

    JamiiForums Tanzania Ila wadada mmh, ni wachafu sana

    Hiyo ilikuwa bajet ya kula mbususu mkuu ulitaka aifanyie nini?
  13. Lighton

    JamiiForums Tanzania Ila wadada mmh, ni wachafu sana

    Mkuu hawa wadada wa 25+ atakudanganya na pafyum na makucha marefu, yaan muonekano wa nje usikupiteze, ni wachafu balaa, ila pisi za 35+ mkuu sizipingi zinaupiga mwingi sana.
  14. Lighton

    JamiiForums Tanzania Uzi Maalum wa Kunyooshana kwa Punchlines

    Kama kuweza naweza ila sipendi kujisifia, Snitch ukinibeza hizi level huwez fikia
Back
Top Bottom