Naamka asubuhi, nasali,naenda kuoga, nakula weed naenda kazini nachapa kazi kwa nguvu zangu zote then narudi home kabla ya kupiga Tena weed nasali kumshukuru MUNGU kwa kunilinda then weed, kuoga, kula, kulala.
Ila bei ya mafuta ndo changamoto, nafikiria kufunga mtungi wa gesi.