Recent content by Lighton

  1. Lighton

    Nitavumilia yote, lakini sio kukaa bila hela

    Napenda kuwa na pesa na kuwa singo, nakuwa na afya sana, Nuru na muonekano mzuri😍
  2. Lighton

    FT: Singida BS 1-2 Simba SC | Ligi Kuu ya NBC | Singida wametepeta!

    Black star wamechomoa dadeki😬
  3. Lighton

    Binti anayeonesha uchi mtandaoni ‘Live’, achukuliwe hatua haraka

    Mtoto wa kike 16yrs na mtoto wa kiume 16yrs ni tofauti sana, watoto wote wanapaswa kupewa elimu Rika, kwaajili ya kuwajenga kisaikolojia. Inapofika stage unampa uhuru wa kumiliki smartphone unakuwa umejihakikishia kwamba madhara hayatakuwa makubwa sana. Kuna link za magroup ya uchafu,Kuna...
  4. Lighton

    Binti anayeonesha uchi mtandaoni ‘Live’, achukuliwe hatua haraka

    Sasa hivi kukutana ni hizo content kwenye mitandao ya kijamii ni kawaida, hata Kama siyo mapenzi, hapo akili kichwani kwako tu. Himiza madogo, ikiwezekana wasitumie simu, mpaka Muda sahihi utakapofika. 🌎 Imeharibika.
  5. Lighton

    Mwanaume, Tafuta mahari Umlipie Huyo Mwanamke, Hata Kama Hana Bikra

    Huyu aliyeandika Uzi, yuko miaka 20 nyuma. Nilijua huu Uzi ni wa 2008
  6. Lighton

    Hiv stail ipi nzuri ya kumtongoza demu unayemind kinyama

    Ukitaka kutongoza mwanamke kuwa real, ongea kile unachofeel, confidence ni muhimu sana, Kama mwanamke hajavutiwa nawewe, na Hauna confidence, unapoteza credit. Usiwe na matarajio mkubwa, just enjoy kumwambiya unachofeel.
  7. Lighton

    taarifa kuhusu epstain

    Nashukuru mkuu, najitahidi sana kufikiri kupitia hizo reference
  8. Lighton

    Israeli Ilifanikiwaje kuwaua viongozi wa Iran?

    Sipendi kuona haya Mambo yakijadiliwa kwa muktadha wa kidini, lazima kutakuwa na upendeleo kwenye kujadiliana. Nini hasa chanzo Cha huu migogoro kisiasa? Nimeshindwa kuelewa kwanini Trump amtangaze uhuru kwenye nchi ambayo siyo yake?
  9. Lighton

    Wazayoni(Zionist) ni akina nani na Wana malengo gani?

    Mkuu naomba kumfaham zaidi huyu Jeffrey Epstein
  10. Lighton

    Wazayoni(Zionist) ni akina nani na Wana malengo gani?

    Ipo siku Israel takuja kusema Dunia yote ni yao
  11. Lighton

    Wazayoni(Zionist) ni akina nani na Wana malengo gani?

    Haya Mambo yanahitaji upanuzi wa kifikra sana.
  12. Lighton

    Wazayoni(Zionist) ni akina nani na Wana malengo gani?

    Kuna migogoro ya siasa inachanganywa na Dini.
  13. Lighton

    Wazayoni(Zionist) ni akina nani na Wana malengo gani?

    Ukijaribu kufatilia kwenye makala mbalimbali, utaona hii ideology ni Kama project, hawa jamaa Wana malengo ya Siri, ni Kama Kuna plan juu ya plani.
  14. Lighton

    Wazayoni(Zionist) ni akina nani na Wana malengo gani?

    Kuna ukweli wowote kuhusu wazayuni na conspiracy ya NWO?
Back
Top Bottom