Recent content by Lighton

  1. Lighton

    Kifo chenye utata cha Hayati Magufuli ndio chanzo cha CHADEMA kupata nguvu na kupendwa na Watanganyika

    Kwahiyo magufuli alihusika na mauaji ya oct 29, wewe ni kiraza
  2. Lighton

    How are you feeling? Unajisikiaje? 😐 - karibu tuzogoe!

    Niliwahi kusikia wewe ni gasho, na kauli zako zinafafanua tabia zako.
  3. Lighton

    Kifo chenye utata cha Hayati Magufuli ndio chanzo cha CHADEMA kupata nguvu na kupendwa na Watanganyika

    Walioharibu demokrasia kwa kiwango kikubwa tunawaona mpaka Leo na hakuna Mambo ya maana wanayofanya zaidi ya kujimilikisha Mali, genocide na kupendeleana kwenye madaraka na taasisi za kiserikali.
  4. Lighton

    How are you feeling? Unajisikiaje? 😐 - karibu tuzogoe!

    Naamka asubuhi, nasali,naenda kuoga, nakula weed naenda kazini nachapa kazi kwa nguvu zangu zote then narudi home kabla ya kupiga Tena weed nasali kumshukuru MUNGU kwa kunilinda then weed, kuoga, kula, kulala. Ila bei ya mafuta ndo changamoto, nafikiria kufunga mtungi wa gesi.
  5. Lighton

    Kutoka vipele kwenye uume

    Sasa mkuu hujaweka picha unategemea msaada wa nabii?
  6. Lighton

    Ukisikia Total-Blockade ndiyo hii sasa, Mlango bahari wa Hormuz hapiti yeyote bila idhini ya US!!!

    Unahangaika mkuu hao jamaa wameteseka Miaka 8 na hii vita ya Sasa bado hata miezi 2 haijafika. Marekani ni blah blah tu subiri uone.
  7. Lighton

    PICHA: Binti Wa William Lukuvi Katika Huzuni Kubwa Ya Kumpoteza Baba Mzazi. Mungu Ampe Nguvu na Faraja katika kipindi Hiki kigumu

    Nakumbuka tarehe kama ya Leo October mwaka Jana nilikuwa na mawazo sana juu uonevu na mabavu ya mabeberu, now they feel the real taste😋 Mtoa mada nasubiri picha Kama hii ya yule wanu.
  8. Lighton

    Kataa ndoa ni kampeni ya kijinga kuliko zote duniani

    Siyo kulazimishana na kutoana akili😄😄
  9. Lighton

    Nitavumilia yote, lakini sio kukaa bila hela

    Napenda kuwa na pesa na kuwa singo, nakuwa na afya sana, Nuru na muonekano mzuri😍
  10. Lighton

    FT: Singida BS 1-2 Simba SC | Ligi Kuu ya NBC | Singida wametepeta!

    Black star wamechomoa dadeki😬
  11. Lighton

    Binti anayeonesha uchi mtandaoni ‘Live’, achukuliwe hatua haraka

    Mtoto wa kike 16yrs na mtoto wa kiume 16yrs ni tofauti sana, watoto wote wanapaswa kupewa elimu Rika, kwaajili ya kuwajenga kisaikolojia. Inapofika stage unampa uhuru wa kumiliki smartphone unakuwa umejihakikishia kwamba madhara hayatakuwa makubwa sana. Kuna link za magroup ya uchafu,Kuna...
  12. Lighton

    Binti anayeonesha uchi mtandaoni ‘Live’, achukuliwe hatua haraka

    Sasa hivi kukutana ni hizo content kwenye mitandao ya kijamii ni kawaida, hata Kama siyo mapenzi, hapo akili kichwani kwako tu. Himiza madogo, ikiwezekana wasitumie simu, mpaka Muda sahihi utakapofika. 🌎 Imeharibika.
Back
Top Bottom