wakuu mmeamkaje, mimi niko salama.
Mods naomba mnisaidie kurekebisha kichwa cha habari kama mada haitaendana na nitakachoandika.
Majuzi mishale ya saa sita usiku ilitokea ajali mbaya sana ambapo treni iligongwa na gari, maeneo ya kipunguni relini, barabara ya kuelekea moshi bar, kwa wale watu...
Me mwenyewe nimechoka kupiga kila aina ya nyapu, sasa hivi najitahidi kupunguza, nipo hatua nzuri kufikia lengo, lakini bado nazichapa, last time ilikuwa sunday now inaenda kutimia week. Ni hatua kubwa kwasababu nilikuwa nazichapa karibia 3×3. Now nasali asubuhi na usiku wakati wa kwenda kulala...
Mkuu hawa wadada wa 25+ atakudanganya na pafyum na makucha marefu, yaan muonekano wa nje usikupiteze, ni wachafu balaa, ila pisi za 35+ mkuu sizipingi zinaupiga mwingi sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.