Recent content by ligati

  1. L

    Waislam wa Tanzania na tatizo la udini katika Wizara ya Elimu

    dini zitawatoa mishipa ...mvua inanyeshea waovu na wema ,,waislamu na wakristo..basi na elimu inapitia wote waislamu na wakristo
  2. L

    TRA yakusanya tsh. 5bn kodi ya makontena 329, wafanyakazi 37 wasimamishwa kazi mchana huu

    hizo bilioni 12 si ndio hata Bade alisema Azam amekubali kulipa kutokana na upotevu wa makontena hayo?
  3. L

    Majimbo walioshinda CHADEMA ni uwekezaji wa Slaa na CHADEMA asilia

    Haya taja na idadi ya wabunge wote (wa kuchaguliwa na viti maalumu) ..halafu ucompare the trends tena...halafu unasahau asset inajengwa na liability pia yaani assets=liabilities+shareholders equities ..so unaposema assets hasa kwenye kampuni iliyokuwa lazima itatengenezwa na liability ...
  4. L

    Hongera Zitto Zuberi Kabwe

    Ok sawa!!hakuna matata
  5. L

    Hongera Zitto Zuberi Kabwe

    Haaa Haaa jamaa sasa wewe unaona 0.68% >0.01? Au? hahaa kweli elimu ni muhimu...teh teh
  6. L

    Ina maana wanawake wazuri hawana sifa ya kuajiriwa serikalini, ni private organizations tu?

    Dress codes zinachangia ..uku serikalini wazuri wapo wengi...sema dress codes zao sio za mitego na hawajipara sana.Kingine kiukweli mishahara hafifu inachukuwa mda mrefu kumnawirisha mwanamke
  7. L

    Lowassa: Nataka kuwa Tajiri zaidi ya hapa!

    Mie najua umaskini sio dili....
  8. L

    Lowassa: Nataka kuwa Tajiri zaidi ya hapa!

    Haaa haaa na nyumba za masaki je kupigwa dili ilikuwa kipindi gani?...teh teh
  9. L

    Lowassa: Nataka kuwa Tajiri zaidi ya hapa!

    Walipewa bure au waliuziwa?...
  10. L

    Makamba: Lowassa ni mroho wa madaraka

    Navy boi aliyenyewa na lowasa..teh teh
  11. L

    Viva viettel (halotel)

    Ndio nini 120ms? ...oops elimu elimu elimu
  12. L

    CRDB huduma ni mbovu bora hata NMB

    Haaa unadharau babu,,,yaani unadhani banker wote wana mishahara hafifu..
Back
Top Bottom