Hongera Zitto Zuberi Kabwe

Hongera Zitto Zuberi Kabwe

umechukua viti vyote 12 vya udiwani umebeba. umedhihakiwa sana. sasa kachape kazi. ndo maana wahenga walisema kuwa NUNGU SI ATHUMANI. MUNGU ANGEKUWA BINADAMU TUNGEANGAMIA WOTE. hongera.

kwa tathmini ya kitaalamu zito hatakiwi kupongezwa si na ccm wala upinzani kwa sababu zifuatazo
ameshindwa kila upande

mtakumbuka zito alikuwa kwenye payroll ya TISS ili aisambaratishe chadema, lakini inteligensia kali ya chadema ikambaini hatimaye ikamtimua chamani kabla ya kuleta madhara
tangu alipoondoka cadema chama kimeimarika na kupata mafaniko makubwa sana

1. kimeweza chukua viti vingi kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa

2. kimefanikiwa kuhinda uchaguzi mkuu wa raisi wa muungano kwa 62% ingawa tume na ccm wanalazimisha 58.8%

3. chadema imeongeza idadi ya madiwani ana kuongoza zaidi ya halmashauri 22

4. chadema imeongeza idadi ya wabunge wa kuchaguliwa toka 22 mpaka takribani 40

5. kwa asilimia ya ushindi wa raisi, kwa muhjibu wa ccm chadema itakuwa na wabunge wa viti maalumu takribani 40 jumla ya wabunge itakifika kama 90 baada ya kushinda kesi mbalimbali za kupinga matokeo

6. chadema imeongeza idadi ya wanachama toka mill 4 mpaka mll 9 nchi nzima
kwa kifupi zito kashindwa kuisambaratisha chadema

kwa hiyo hata ccm na TISs hwawezi mpongeza mtu ambaye amefeli mission walitomtuma


kwa upande mwingine zito hawezi kupongezwa na wapinzani kwa kuwa hakushiriki na upinzani katika uchaguzi huu alikuwa mbinafsi hakutaka kujiunga na ukawa na aliwaponda ukawa, hata mgombea wa uraisi kupitia chama chake ameyakubali matokeo feki ya uraisi,

si hivyo tu ukiangalia structure ya chama chake utagundua YA KUWA NI CHAMA CHA KILICHOPANDIKIZWA NA tiss ILI KUPUNGUZA nguvu ya ukawa- huku nako kashindwa vibaya
hiyvo hakuna mpinzani anaweza mpongeza huyo kibaraka wa watawala
 
Haaa Haaa jamaa sasa wewe unaona 0.68% >0.01? Au? hahaa kweli elimu ni muhimu...teh teh

Sawa mkuu nimekuelewa 0.0068 ni ndogo kuliko 0.01,Niliangalia vibaya.

Lakini tambua wataalamu wa hesabu huwa wanakosea hesabu nyepesi kuliko ngumu mara nyingi ingawa si mara zote.

but shukrani kwa marekebisho yako.
 
we jamaa ni taahira!!
kubishana na wewe ni utahira vilevile...
watu mlioenda shule mkashindwa kuelimika ni wakuchoma moto.

Utahira wake upo wapi?,Nccr iliyokuwa na wabunge wanne na kuteuliwa(viti maalamu) mmoja,Sasa hivi imebaki na Mbunge mmoja tu unasema haijaisha!!.
 
Wagombea 190+ Nchi nzima kaambulia yeye tu kwasabu sio mpinzani kapata back-up ya NEC ndio maana kajitangaza kashinda saa 11 Jioni,hakukuwa na mizengwe Kama kwa kina Hasanali,mbagala,wenje,kawe hamjiulizi? Zitto sio mpinzani.

...halafu wakiambiwa Act ni ccm B hawataki kuelewa; kwa kifupi ccm wanamuachia sana zito coz ni "mtu" wao.
Wapinzani wa kweli kama kina Kafulila na Mkosamali hawawezi achiwa kirahisi hivyo.Tazama issue ya Kafulila alivyochakachuliwa ndio utaamini..
Zitto sio mpinzani, ni tawi la ccm.
 
...halafu wakiambiwa Act ni ccm B hawataki kuelewa; kwa kifupi ccm wanamuachia sana zito coz ni "mtu" wao.
Wapinzani wa kweli kama kina Kafulila na Mkosamali hawawezi achiwa kirahisi hivyo.Tazama issue ya Kafulila alivyochakachuliwa ndio utaamini..
Zitto sio mpinzani, ni tawi la ccm.

Mkuu pole sana naona ulivyo na uchungu pole sana.
 
kwa tathmini ya kitaalamu zito hatakiwi kupongezwa si na ccm wala upinzani kwa sababu zifuatazo
ameshindwa kila upande

mtakumbuka zito alikuwa kwenye payroll ya TISS ili aisambaratishe chadema, lakini inteligensia kali ya chadema ikambaini hatimaye ikamtimua chamani kabla ya kuleta madhara
tangu alipoondoka cadema chama kimeimarika na kupata mafaniko makubwa sana

1. kimeweza chukua viti vingi kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa

2. kimefanikiwa kuhinda uchaguzi mkuu wa raisi wa muungano kwa 62% ingawa tume na ccm wanalazimisha 58.8%

3. chadema imeongeza idadi ya madiwani ana kuongoza zaidi ya halmashauri 22

4. chadema imeongeza idadi ya wabunge wa kuchaguliwa toka 22 mpaka takribani 40

5. kwa asilimia ya ushindi wa raisi, kwa muhjibu wa ccm chadema itakuwa na wabunge wa viti maalumu takribani 40 jumla ya wabunge itakifika kama 90 baada ya kushinda kesi mbalimbali za kupinga matokeo

6. chadema imeongeza idadi ya wanachama toka mill 4 mpaka mll 9 nchi nzima
kwa kifupi zito kashindwa kuisambaratisha chadema

kwa hiyo hata ccm na TISs hwawezi mpongeza mtu ambaye amefeli mission walitomtuma


kwa upande mwingine zito hawezi kupongezwa na wapinzani kwa kuwa hakushiriki na upinzani katika uchaguzi huu alikuwa mbinafsi hakutaka kujiunga na ukawa na aliwaponda ukawa, hata mgombea wa uraisi kupitia chama chake ameyakubali matokeo feki ya uraisi,

si hivyo tu ukiangalia structure ya chama chake utagundua YA KUWA NI CHAMA CHA KILICHOPANDIKIZWA NA tiss ILI KUPUNGUZA nguvu ya ukawa- huku nako kashindwa vibaya
hiyvo hakuna mpinzani anaweza mpongeza huyo kibaraka wa watawala

Mkuu samahan uchaguzi upi Chadema wamepata wabunge 40? Pili ongezeko la 11% toka 2010 la kupongezwa?? Hivi CDM iwe na wanachama million 9 then wapate kura 6 million au ndo kashida kwa kura million 10 Ila amechukua wabunge 40 out of 264??
 
Mkuu samahan uchaguzi upi Chadema wamepata wabunge 40? Pili ongezeko la 11% toka 2010 la kupongezwa?? Hivi CDM iwe na wanachama million 9 then wapate kura 6 million au ndo kashida kwa kura million 10 Ila amechukua wabunge 40 out of 264??

cdm wanpambana na dola kwa uchaguzi huru na wa haki bila hujuma cdm tuna majimbo 165 tayari
 
Nikweli mkuu pia wametangaza chama nchi nzima?.

Hawakufanikiwa kujiunga ukawa lakin wana mbunge 1 na madiwani zaidi ya 30.

Uchaguzi huu ACT imefanikiwa kimkakati na kimatokeo kuliko NCCR iliyokuwa ndani ya Ukawa.
Zito si alijinadi atapata wabunge 50. Sasa wako wapi?
 
Mbona Msigwa kachukua 14 kati ya 18, Lema kachukua 24 kati ya 25, Nassari kachukua 26 kati ya 27! There is nothing special kwa Zitto kuchukua viti hivyo. Ni swala tu la uwanja wa nyumbani kama ilivyo kwa wengine.
 
umechukua viti vyote 12 vya udiwani umebeba. umedhihakiwa sana. sasa kachape kazi. ndo maana wahenga walisema kuwa NUNGU SI ATHUMANI. MUNGU ANGEKUWA BINADAMU TUNGEANGAMIA WOTE. hongera.
yalimoz's Avatar
Senior Member
Array
Join Date : 22nd July 2015
Posts : 148
Rep Power : 344
Likes Received
6
Likes Given
0
 
Sawa mkuu nimekuelewa 0.0068 ni ndogo kuliko 0.01,Niliangalia vibaya.

Lakini tambua wataalamu wa hesabu huwa wanakosea hesabu nyepesi kuliko ngumu mara nyingi ingawa si mara zote.

but shukrani kwa marekebisho yako.

Ok sawa!!hakuna matata
 
umechukua viti vyote 12 vya udiwani umebeba. umedhihakiwa sana. sasa kachape kazi. ndo maana wahenga walisema kuwa NUNGU SI ATHUMANI. MUNGU ANGEKUWA BINADAMU TUNGEANGAMIA WOTE. hongera.
Huyu Zitto alipokimbia CDM alisema amekimbia ukabila. Lakini hiki kilichopo ACT ni zaidi ya ukabila. Waweke tu HQ yao Kigoma
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom