Recent content by LIFE HELP

  1. L

    Tatizo la Gonjwa la Sukari (Diabets Mellitis): Fahamu chanzo, aina na ushauri wa tiba ya tatizo hili

    Samahani mkuu rudia kusoma vizuri, SIO KWELI Asubuhi hujala kitu isizidi 7 kawaida, ikizidi 8 na kuendelea huyu ni muathirika wa kisukari Baada ya mulo aidha B/fast au Lunch au Dinner pima baada ya masaa 2 kwa kwaida isizidi 11,, ikizidi 12 na kuendelea huyo pia ni mwathirika...
  2. L

    Dkt. Mpango: Nilipoachiwa nchi niliogopa lakini nashukuru Rais umerudi na nchi ni salama kabisa

    Dr Mpango yuko vizuri sana, hofu yangu ni madhara ya corona, aidha anayo maana halisi kuna mambo hayako vizuri kiutawala, sina mashaka kabisa na uwezo uwelewa wake ni mkubwa sana
  3. L

    Tiba ya tezi dume bila upasuaji inawezekana?

    Wakuu naomba kuelewa kwa yeyote anayejua au kushudia matibabu ya Tezi dume bila upasuaji na mgongwa kupona kabisa na hayo matibabu yanapatikana wapi? Nitafurahi zaidi kupata taarifa za matibabu ya kisayansi kwa maana ya yanaweza kuwa wanatumia aidha dawa za asili...
  4. L

    Barua kwa Waziri wa Katiba na Sheria: Tamko la uhalali wa ndoa ya Kiislamu

    SIJAONA KOSA LA WAZIRI Yeye amesema "KISHERIA NI BATILI" na yeye yupo hapo kwa mujibu wa sheria za nchi HAJASEMA "KIDINI NI BATILI" wala bado HAJASEMA "KIJAMII NI BATILI" Tukumbuke yapo mambo kadhaa IMANI ZETU ZINAPISHANA NA SHERIA ZA NCHI
  5. L

    LAPTOP YA KUKODI KWA MIEZI 3 INAHITAJIKA HARAKA

    Yeyote mwenye laptop ya kukodisha kwa miezi 3 tuwasiliane hapa hapa au PM Iwe angalau na Window 7 or better Iwe na uwezo wa kutunza charge angalau 1 Hr yaani battery yake nzuri Processor core i3 au zaidi, iwe na microsoft office , ant virus n.k Matumizi ni mwanafunzi...
  6. L

    Experience yangu diclofenac inasaidia ku control blood glucose

    Hi JF Members kama nilivyo eleza hapo kwa uzoefu wa muda mrefu sasa kila nilipokuwa natumia diclofenac kwa ajili ya kupunguza maumivu hasa usiku imekuwa inatokea asubuhi blood sugar level imeshuka chini one level extra kuliko kawaida yangu kwa yeyote anayeweka kuelewa sababu...
  7. L

    Wawekezaji Wamerekani wadaiwa kutoroka usiku wa manane kisa TRA

    Watanzania wengi ndivyo wajuavyo, jiulize tu kama ndivyo inakuwaje hadi watu wanaamua kufunga biashara zao ! ! kiuhalisia mkuu ni kinyume kabisa na hivyo ufikiliavyo,
  8. L

    Karibu kwetu tukuhudumie mkopo usio na riba wala dhamana

    Hapana kuna vitu hataki kuvitaja hapa nadhani hiyo 1,800,000= ndio riba anayoita ADA na mkopo(Principal) upo pale pale... = 6,000,000 gawa 20 =300,000 + 90,000= sh 390,000 @ mwz jumla utalipa sh 390,000 x 20 = 7,800,000 ni sawa na riba ya 32% wakati wao bank wanakopa 18%, Biashara iko...
  9. L

    NATAFUTA PLOT YA KUNUNUA VIJIBWENI KIGAMBONI

    Wadau salama ! ! Natafuta plot ya kununua maeneo karibu kabisa na daraja upande wa kigamboni isizidi km 4 toka darajani, iweze kufikika kwa gari kama canter bila shida, mwenye nayo tuwasiliane kwa PM Note: mwisho wa tangazo hili ni siku 30 kuanzia leo
  10. L

    Plot4Sale Viwanja Bei rahisi Km 17 kutoka Daraja la Kigamboni ( Vimepimwa )

    Nitafutie vijibweni au majirani at least 5 km toka darajani tafadhali
  11. L

    NATAFUTA PLOT YA KUNUNUA VIJIBWENI KIGAMBONI

    Wadau salama ! ! Natafuta plot ya kununua maeneo karibu kabisa na daraja upande wa kigamboni isizidi km 4 toka darajani, iweze kufikika kwa gari kama canter bila shida, mwenye nayo tuwasiliane kwa PM Note: mwisho wa tangazo hili ni siku 30 kuanzia leo
  12. L

    Wamiliki wa Mazda demio club tubadilishane uzoefu

    Ntampata wapi fundi mzuri wa MAZDA DEMIO gari yangu inazimika zimika lakini l kila ikizima ukiwasha inawaka na kuendelea na safari
Back
Top Bottom