Recent content by Lidelele

  1. L

    Mkutano wa Kinana Chumo jimbo la Kilwa Kaskazini

    Uliyepost hili hutoki mikoa ya Lindi na Mtwara au la huna akili kichwani. Serikali ya ccm iliiweka ktk curfew hii mikoa miwili, no political activities kwa vile tu wananchi wa kule walitaka kujua gas inayotoka mikoani mwa itawanufaishaje? Wananchi wa wa Mtwara waliuliwa, wanajeshi wakachukua...
  2. L

    Jakaya Kikwete ajibu na meseji hizi pia

    Posts za Lizabon ni too shallow nadhani huyu jamaa ni ex std vii. Mtu aliyeenda shule hawezi kusoma comments zake kwani ni very boring. Nashangaa wana ccm wana entertain upuuzi huu
  3. L

    Mbowe: Zitto kajiharibia mwenyewe kwa kurubuniwa na CCM

    Zitto asitupotezee muda kum discuss, aende tu kwa wafadhili wake ccm. Namba yake ndani ya Chadema imeshafutwa, ameshakuwa obsolete. Akitaka aombe tena uanachama, ili awe considered afresh, akubaliwe au akataliwe
  4. L

    DOKEZO Familia ya Rais Kikwete yahusika ufisadi wa ESCROW

    Katiba pendekezwa kwa hakika kabisa imembeba Kikwete kwa kumsetiri kwenye ufisadi unaohusisha familia yake. Issue ya Escrow hatukujua kama nayo yumo. Tunashangaa tu Rais anatunga safari zisizo na mpango kukimbia report za CAG na PCCB, atazikimbia mpaka lini. Maji ameshayavulia nguo inabidi tu...
  5. L

    Mbowe: Vigogo CCM wamechota Sh1.2 mradi bomba la gesi

    Bwana Zitto Kabwe aliwahi kulivalia njuga hili suala kama miaka 2 iliyopita. Alikuwa na all the do0Š4umentary evidence inclusive of mkataba na China Exim Bank, jinsi ulivyokuwa overpriced, twice its actual value. Zitto alilipigia kelele na wengi tuliamini kuwa angeweza kulifikisha mahali...
  6. L

    Kunani Zanzibar mbona habari za ufisadi na Malaria hazivumi, Tanganyika vipi?

    Zanzibar hakuna mali za kufisidi na hata zinapotokea kwa vile nchi yenyewe ni ndogo, kila mtu anamuona mwenzie nini anafanya na hivyo ni rahisi kumshtukia. Wezi wapo Tanganyika, nchi ni kubwa na miradi ni mingi! Na inahijumiwa kikweli kweli ndiyo maana ccm hawakubali kuachia madaraka under...
  7. L

    Hii ya Juma Pinto Inatisha

    Juma Pinto ni owner wa magazeti ya Jambo Leo na ndiyo wenye ule mzigo mzito alioshikwa nao Masogange kule South Africa lkn serikali ikaiingilia kati, mzigo ukaruhusiwa. Nchi imekwisha hii
  8. L

    Dhana ya udini, ukabila na ukanda wa CHADEMA

    Wake up ndugu. Kumbuka Steven Wassira alivyokuwa anaikejeli/kuitukana ccm wkt akiwa NCCR? Leo yuko wapi? Msiwe mna comment tu just for the sake of it! U should know that in politics, there's no permanent enemy!
  9. L

    CHADEMA inatumia koti la UKAWA kujikongoja kisiasa

    Posts za Ifweero, Msalani, Simiyu yetu, Lizaboni na wenzao, humu ndani ya JF zimekosa utashi wa kijamii. Zimekuwa za kitoto mno, kwani wanalazimisha kupost items lkn hazina content, za kitoto na kipuuzi mno. Wangekuwa na akili za kujitambua kweli wangejirudi na kubuni njia nyengine ya...
  10. L

    Mzee Moyo afichua siri ya Maalim Seif kukubali Matokeo 2010

    Hassan Moyo anathibitisha na kudhihirisha kuwa Zbr ni koloni la Tanganyika na Dr Sheni ni Governor wake. Wazanzibari inawabidi wachukue hizi details za mzee Moyo wapeleke UN, ili uchaguzi wa mwakani usimamiwe na UN mpaka pale mshindi anaapishwa. Hii si sawa hata kidogo.
  11. L

    Tarehe 14/10/2014 tunamkumbuka Nyerere kwa lipi?

    Na walimu wenyewe ni kina Capt Komba, ambao hawajielewi lipi waseme wapi! What do yo expect? All they know is copy and paste.....
  12. L

    Kwanini Tanesco hawatumii gesi kuzalisha umeme?

    Hii nchi si ya Kafulila peke yake? Yeye ameplay his part nawe kama mzalendo wa kweli fuatiliq hili jingine vinginevyo unajionyesha dhahiri unatetea ufisadi wa Escrow money
  13. L

    Wadau wa mifuko ya hifadhi ya jamii kiama chaja

    Ccm wameshasema,kupitia kwa Nape kuwa wafanyakazi wa umma wanasaabisha nchi hii kuwa Masikini, kwa hiyo ni halali kwa haya mashirika kuwapunja mafao wafanyakazi! WaTz wanapenda sana kulalamika lkn baada ya muda mfupi tunasahau na ccm wanainuka kidedea
  14. L

    Kamanda Kova: Tutamfikisha Halima Mdee mahakamani

    Ila wewe una sera mbadala, nayo ni kuwapasha wafanyakazi wa umma ndiyo wanasababisha nchi hii kuwa masikini, tofauti na ya bosi wako aliyesema hajui kwa nini nchi hii ni masikini. Aibu kwa chama kikubwa kama ccm kukosa coordinated matamko, na hii ni clear indication kuwa chama kiko on the verge...
Back
Top Bottom