Wewe kweli ushavuta bangi nani ashawahi kupiga picha majambazi wakiteka gari...Au unafikiri ndo muvi mnazoangalia za kutekwa.....Hujawahi kutekwa mkiwa na gari ni hatari
Kuna kitu huwa nakiona barabarani hadi nashangaa. Labda penginw elimu yangu ya mwendo wa vyombo hivi ni ndogo. Hivi kama sheria inasema gari itembee speed 50 hivi hii speed hutofautiana kwa gari kubwa au dogo? Maana utakuta trafiki wanakamata vibasi vidogo kwa mwendo kasi lakini unakuta NEW...
Yani huwa nashindwa kuelewa hawa wenzetu wanakosaje haki au wanapata dhulma gani sijui. Srikali inaajiri mtanzania aliyesoma tu na wala sioKUSOMA MADRASA AU BIBLIA SEMINARI.
ITV sasa haina mvuto sasa kipindi kile sijui anategemea waziri atasemaje au atapinga kwamba serikali haifanyi vizuri?? kwakweli ITV kuweni creative na baadhi ya vipindi mfano kipindi THIS WEEK IN PERSPECTIVE japo sitazamagi TBC lakini huwa nalazimika kutazama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.