Recent content by LIDEGE

  1. L

    Naomba kujua uhusiano wa harufu mbaya na kutema mate

    Kutema mate ni uchafu mkubwa sana wala hakuna uhusiano wa kibaolojia. Ni tabia za wachafu tu
  2. L

    Ninaposemaga Tanzania bara si salama kusafiri usiku huwa mnanipinga, sasa mmeamini

    Wewe kweli ushavuta bangi nani ashawahi kupiga picha majambazi wakiteka gari...Au unafikiri ndo muvi mnazoangalia za kutekwa.....Hujawahi kutekwa mkiwa na gari ni hatari
  3. L

    AJALI: Basi la Kampuni ya New Force lapata ajali ya kugongana na gari ndogo maeneo ya Iyovi

    Kuna kitu huwa nakiona barabarani hadi nashangaa. Labda penginw elimu yangu ya mwendo wa vyombo hivi ni ndogo. Hivi kama sheria inasema gari itembee speed 50 hivi hii speed hutofautiana kwa gari kubwa au dogo? Maana utakuta trafiki wanakamata vibasi vidogo kwa mwendo kasi lakini unakuta NEW...
  4. L

    Hali si shwari PRIDE Tanzania, wafanyakazi wabaki njia panda

    Ni kweli wamefilisika maana mwaka huu hawajawakopesha watu huku iringa vijijini wakat kila mwaka walikua wanatoa fedha
  5. L

    Kwanini Ijumaa Kuu huwa ni mapumziko kwa shughuli za Serikali?

    Udini unakuwasha. Ijumaa kuu inatambulika na Nchi
  6. L

    Waarabu,Wahindi,Wapemba,Wachaga wana siri gani katika biashara?

    Acha ulevi na uhuni wa kuhonga wake za watu utatajirika
  7. L

    Watu wa Dar ni wachoyo sana.

    Mfumo wa maisha ndio wa kulaumiwa sio watu. We umeachwa na mmeo unakimbilia dar nani akulishe
  8. L

    Mchango wa dini katika kutetea haki za kiraia: Mohamed Said yeye ni kushutumu Wakristo

    Yani huwa nashindwa kuelewa hawa wenzetu wanakosaje haki au wanapata dhulma gani sijui. Srikali inaajiri mtanzania aliyesoma tu na wala sioKUSOMA MADRASA AU BIBLIA SEMINARI.
  9. L

    Mchango wa dini katika kutetea haki za kiraia: Mohamed Said yeye ni kushutumu Wakristo

    Ata mi sikumwelewa huyo sheikh sikuuelewa vizur usomi wake uko wapi alikwenda nje na maada kabisa kama kilaza flan.
  10. L

    Sam Mahela wa ITV na kipindi cha upande mmoja

    ITV sasa haina mvuto sasa kipindi kile sijui anategemea waziri atasemaje au atapinga kwamba serikali haifanyi vizuri?? kwakweli ITV kuweni creative na baadhi ya vipindi mfano kipindi THIS WEEK IN PERSPECTIVE japo sitazamagi TBC lakini huwa nalazimika kutazama.
  11. L

    Mwanafunzi, weka swali linalokusumbua ili walimu na wazoefu wakusaidie

    HOW THE COLLAPSE OF RUSSIAN SOCIALISM WAS A DETRIMENTAL PHENOMENON IN THE SOCIALIST COUNTEPARTS?
Back
Top Bottom