ni mazoea tu kwanza mate yenyewe mtu anayatoa kwa shida.... ukilinganisha anapohisi harufu nzuri yani mate yanajileta yenyewe bila shida.Habari za saa hizi,
Naomba kujua kwa mwenye kufahamu, hivi kuna uhusiano gani mtu anapohisi harufu mbaya na kutema mate?
Naomba ufafanuzi
Duuh upo vizuri
bora yako unapoint. kidogoHua mtu akihisi harufu mbaya anakereka mpaka anasikia kichefu chefu,kile kichefuchefu ndo kinamfanya ateme mate
Ukweki mtupuHua mtu akihisi harufu mbaya anakereka mpaka anasikia kichefu chefu,kile kichefuchefu ndo kinamfanya ateme mate