Mkisema ITV ni kama TBC ni kuipabdisha chat ITV mi naona ni kama tvz ya Zanzibar. Hakuna kitu hapo
Hivi TVZ bado ipo?
Mkisema ITV ni kama TBC ni kuipabdisha chat ITV mi naona ni kama tvz ya Zanzibar. Hakuna kitu hapo
Mahela kipindi chako kinakosa mvuto. wanangalia wachache.
Mosi, unauliza mambo ambayo ni ama huyajui au umedangishwa. Maswali mengi uliyomuliza jafo ilifaa umulize Mtendaji wa Kata au Mek (Mratibu wa elimu kata)
Pili, kipindi kinakosa mvuto kwa kuwa kuna fanani/ msimuliaji tu na hadhira hairuhusiwi kuliza maswali.
Tatu, maswali unayouliza siyo fikirishi yanampa muulizwaji nafasi ya kuelezea hisia badala ya actual facts. Mfano wewe unasemaje? Hupaswi kumuliza waziri hivyo kwakuwa hujamwalika kama mtu binafsi umeialika wizara.
Nne, unatumia vibaya gesture? Kuongeza chunvi yale unayoyaongea.huwapi watazamaji uhuru wa kuamua juu ya unachohoji.
Nakifananisha kipindi hiki na mazungumzo baada ya habari, bwana Juma Ngondai alikuwa ananiacha na maswali mengi sana pasi na majibu lakini sasa najua alikuwa anadanganya, kutisha na kuogofya watu.
Mahela boresha kipindi, ruhusu simu toka kwa walaji
Kwa hio mkuu kwako una dishi mbili kwa Mpigo, Ya DSTV&AZAM sio?Una muda wa mchezo sana..kwangu mm marufuku clouds FM, clouds TV, radio one, TBC, ITV. Ni marufuku kwangu..!! Habari naangalia azam two ..nikitaka mpira dstv, nikitaka yanga azam anatosha..nikitaka mziki MTV base, Chanel e ya majizo basi..!! Wanafki hawana nafsi kwangu.
Tena habari nyingi now nazipata jf zikiwa hazijaeditiwa. Miziki YouTube.
ebu angalia mtangazaji anavyomuhoji Rais wa France..mahela kujipendekeza tu..tatzo hatobadilika ataona km tunamchukia.
Kidogo charles hilary/nurdin suleman/ivona na Muhuza wanaweza kumweka mtu kitimoto na kumchapa maswali ya maana.. Poor ITV..
Siku hizi wanajifungia na kujipiga faini wao wenyewe. Wameweka 'precedence' kwa watu wa ulimwengu wote, haikuwahi kutokea! Nasikia watu wa Guinness Records wanataka kuiingiza kwenye records zao!Hao ITV tokea wapigwe faini.kwa "kosa" la kureport taarifa ya kituo cha LHRC
Hivi sasa wamekuwa kama TBC..
nafikiri media zetu zinapaswa kuwa na watu wa aina ya bulendu sio hawa wakina enock bwigane wanywa konyagi za kupima mjiniSio lazima kupiga simu maana hata wapiga simu huwa wanapangwa waulize nini. ilitakiwa kipindi kina uliza maswali bila kumpa mgeni kutoa ngonjera kuiga sio kubaya hivi hawaoni BBC Hardtalk, unapigwa maswali kama boxing unawekwa corner hakuna hadithi.
Dstv/ azam hazizidi laki 2.5 kuzifunga...!! Unataka na mm nikaangalie uefa usiku wakati nimeoa.Kwa hio mkuu kwako una dishi mbili kwa Mpigo, Ya DSTV&AZAM sio?
Mahela kipindi chako kinakosa mvuto. wanangalia wachache.
Mosi, unauliza mambo ambayo ni ama huyajui au umedangishwa. Maswali mengi uliyomuliza jafo ilifaa umulize Mtendaji wa Kata au Mek (Mratibu wa elimu kata)
Pili, kipindi kinakosa mvuto kwa kuwa kuna fanani/ msimuliaji tu na hadhira hairuhusiwi kuliza maswali.
Tatu, maswali unayouliza siyo fikirishi yanampa muulizwaji nafasi ya kuelezea hisia badala ya actual facts. Mfano wewe unasemaje? Hupaswi kumuliza waziri hivyo kwakuwa hujamwalika kama mtu binafsi umeialika wizara.
Nne, unatumia vibaya gesture? Kuongeza chunvi yale unayoyaongea.huwapi watazamaji uhuru wa kuamua juu ya unachohoji.
Nakifananisha kipindi hiki na mazungumzo baada ya habari, bwana Juma Ngondai alikuwa ananiacha na maswali mengi sana pasi na majibu lakini sasa najua alikuwa anadanganya, kutisha na kuogofya watu.
Mahela boresha kipindi, ruhusu simu toka kwa walaji
Zipi hizoSam Mahela anazijua siri za Chama Chake.