TAASISI ni KICHAKA tu cha kutaka KURUDISHA enzi za KURITHISHANA mashirika ya UMMA...hawana KABISA sababu ambazo ni za MSINGI...hapa NGUVU zingewekwa KUIBORESHA PSRS na SI vinginevyo....
Kwa ambao wamelamba asali wanajua maswali tunayokutananayo huko kwenye mashirika baada ya kufanikiwa kuingia...
Mtalamba asali tu wana, huku kwenye pipa tupo na wazee kwa asilimia kubwa, wengi wanastaafu mwaka huu na mwakani...so nafasi ni nyingi mnoo... Karibuni sana kwenye MAPIPA ya ASALI..najua mtakuja tu...Kikubwa Dua.
Mwamba tuliza munkari, humu wote tunaongea lugha moja, ndomana tupo ambao tayari Mungu ametubariki tumetokea kwenye pdf, lakini bado tupo humu kuwapa faraja jobless, humu kuna jokes nyingi, ilimradi kuwapunguzia wana stress, kuna vibwagizo kibao kama "IT MTU...
Nawaombeeni wana, ili Mamasta wa humu wote tulambe asali, Mungu atawabariki tu..IT rudisha ule MOTO wako wa JULY na AUGUST tafadhali...
Hatujakuzoea hivi BOSS WETU..nini SHIDA?
Kikubwa ni kujiandaa KISAIKOLOJIA...ukiona TAJIRI anafanya hivyo kuna mawili, HUENDA anataka wengi zaidi...au alionao mezani HAWAJAMSHAWISHI kuendeleanao...
Hapo ili kuondoa utata ni vyema ukafata tu hiko cheti, Japo siyo muhimu, ila tayari ameweka SHÀKA, unaweza kumpa cheti cha cha SCHOOL CANDIDATE msela wako ...😅😅😅😅
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.