Recent content by Licking Wounds

  1. Licking Wounds

    JamiiForums Tanzania Kwanini kiatu kilinikimbiza?

    Leta ID yako ya zamani tujnganishe story
  2. Licking Wounds

    JamiiForums Tanzania Hii ni kitu gani wakuu?

    Google kitu inaitwa Herpes Simplex na dalili zake...halafu uka google kitu inaitwa Chancre na dalili zake! Utajua shida ni ipi kati ya hao mtu mbili
  3. Licking Wounds

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Vijana, ziingatia kabla ya kutaka kuoa ni mwanamke gani unaetaka kumuoa

    Lala wewe umeshalewa
  4. Licking Wounds

    JamiiForums Tanzania Kampuni ya Samsung yaacha kuuza vifaa vyake vyote vya kielektroniki vya nyumbani nchini China

    Hawakutaka kwenda na mabadiliko au? Yale yale ya Kodak,Konika,Nokia and the likes
  5. Licking Wounds

    JamiiForums Tanzania Tanzania yashuka nafasi 22 kwenye Viwango vya Uhuru wa Habari Duniani. Hali ni mbaya!

    Wewe hauko sawa! Kuna kitu kimekunogea na kinakukuna vilivyo! Tutajua tu siku moja
  6. Licking Wounds

    JamiiForums Tanzania Ni ujinga wa karne kukataa kiwanda cha kuchuja mafuta kujengwa Tanga-missed oppurtunities

    Wamiliki wa vituo vya mafuta vinavyoota kila uchao kwenye kila kona ya nchi hii ndio wafanya maamuzi! Wanajua wakiruhusu watashindwa kutupiga watz kwenye mafuta kwa sababu wao ndio wanapanga bei! Wanajua kabisa kikijengwa kiwanda mipigo yao itaathiriwa! We uliona wapi rais anakuwa hajua jambo...
  7. Licking Wounds

    JamiiForums Tanzania Hatimaye Chadema kutikisa Kyela, Pazia la Mikutano ya hadhara kufunguliwa Ipinda 16/5/2026

    Kama inakuuma chomoa kama huwezi endelea kuusikilizia
  8. Licking Wounds

    JamiiForums Tanzania Kifahamu kitabu cha ajabu zaidi Duniani "Voynich Manuscript" na maajabu yake

    We umekitoa wapi bwana kibwajinga?
  9. Licking Wounds

    JamiiForums Tanzania Hatimaye Chadema kutikisa Kyela, Pazia la Mikutano ya hadhara kufunguliwa Ipinda 16/5/2026

    Mwaisa niandalie siti ya mbele kabisa na supu ya mbasa
  10. Licking Wounds

    JamiiForums Tanzania Jumuiya ya Wana Usalama (Intelligence Community) wana la kujifunza

    Yericko Nyerere umekuwa jasusi la Lumumba la kuchezesha picha za mikutano ya CHADEMA ionekane ina wahudhuriaji wachache mno...ewe mnafiki huna mvuto tena kwenye jamii! Jinger kabisa
  11. Licking Wounds

    JamiiForums Tanzania Je Wajua Chuki ni Ugonjwa?. Chuki ni Ugonjwa Hatari Unaua!, na Unaoambukiza kwa Kasi!. Watanzania Tuacheni Chuki!, Tiba Yake ni Upendo!. Adui Mpende!

    Huyu mzee sijui huwa haoni aibu kuandika hizi makala zake za kishenzi! Mtu aliyeumizwa na kuonewa ndio anatakiwa atulie...aliyefanya makosa aah
  12. Licking Wounds

    JamiiForums Tanzania Je Wajua Chuki ni Ugonjwa?. Chuki ni Ugonjwa Hatari Unaua!, na Unaoambukiza kwa Kasi!. Watanzania Tuacheni Chuki!, Tiba Yake ni Upendo!. Adui Mpende!

    Hawezi kujibu hapa...huyu mzee ameshakuwa chawa chawize! Watu wamezika nguo za ndugu zao bila miili unasema mpende adui yako? We mzee umekuwa chizee
Back
Top Bottom