Wamiliki wa vituo vya mafuta vinavyoota kila uchao kwenye kila kona ya nchi hii ndio wafanya maamuzi! Wanajua wakiruhusu watashindwa kutupiga watz kwenye mafuta kwa sababu wao ndio wanapanga bei! Wanajua kabisa kikijengwa kiwanda mipigo yao itaathiriwa! We uliona wapi rais anakuwa hajua jambo...
Yericko Nyerere umekuwa jasusi la Lumumba la kuchezesha picha za mikutano ya CHADEMA ionekane ina wahudhuriaji wachache mno...ewe mnafiki huna mvuto tena kwenye jamii! Jinger kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.