Recent content by Licking Wounds

  1. Licking Wounds

    JamiiForums Tanzania Hodi hodi kutoka kwa Kiranga

    Mkuu Nyani Ngabu ya kweli haya? Au huyu dogo anakuletea za kuleta? 😎
  2. Licking Wounds

    JamiiForums Tanzania Kalapina ampondea Sugu

    Hata flow pia ilikuwa kali sana...alichana sana hii ngoma na mistari ilikuwa mikali sana
  3. Licking Wounds

    JamiiForums Tanzania Mene, Mene, Tekeli na Peresi": Maandishi Ukutani Kuhusu Nyufa na Ugomvi wa Ndani ya CCM

    Waparurane tu mpaka wauane na lichama likafilie mbali huko
  4. Licking Wounds

    JamiiForums Tanzania Mapini makali ya muda wote ya Hip Hop ilikuwa ni mwendo wa kutikisa vichwa tu

    Hatari sana...beat moja kali sana alinyonga mwamba wa kuitwa KLC!! old good days🔥
  5. Licking Wounds

    JamiiForums Tanzania Historia ya Mapinduzi ya Zanzibar na Muungano usilolijua usiku wa kiza

    Kwani mzee Mohamed Said ulikusudia kusema nini hasa?
  6. Licking Wounds

    JamiiForums Tanzania Heche: Tutawaandikia barua FIFA na CAF kuwaeleza Serikali imesema kuna 'Ugaidi' wasilete Watu AFCON

    Ni national threat tayari...kwani mnaweweseka nini? Si mmesema kuna magaidi na mmeyakamata? Sasa mnaogopa nini AFCON wakiambiwa kuhusu hilo ili watu wasije wawe salama?
  7. Licking Wounds

    JamiiForums Tanzania Heche: Tutawaandikia barua FIFA na CAF kuwaeleza Serikali imesema kuna 'Ugaidi' wasilete Watu AFCON

    Hivi wewe una akili timamu? Anayesema kuna ugaidi ni nani? Acha ujinga wewe
  8. Licking Wounds

    JamiiForums Tanzania hadi maandishi kwenye duka/frem now unayalipia???

    Mimi sio maskini
  9. Licking Wounds

    JamiiForums Tanzania Mji wa Wathesalonike

    Kuna chama linaitwa Thessaloniki...huwa nalitia sana kwenye mikeka yangu
  10. Licking Wounds

    JamiiForums Tanzania hadi maandishi kwenye duka/frem now unayalipia???

    AKili za kiccm ni mbofu mbofu...mtu anajitafuta unamwambia kuhusu tenda za serikali
  11. Licking Wounds

    JamiiForums Tanzania Sakata la Mhadhiri wa Chuo Kikuu kupewa kesi ya ugaidi, Mgomo wa wafanyakazi UDOM wanukia

    The beggining of an end...
  12. Licking Wounds

    JamiiForums Tanzania List ya wasanii wakali wa Muziki wa Muda wote Afrika

    No. 1 ni sahihi sanaaa...2,3,4 sahihi kabisa...ila hiyo takataka no 5 sijui umeitoa wapi?
Back
Top Bottom