Recent content by libera

  1. L

    Unamkumbuka kwa yapi Abdul-Rahman BABU?

    https://content.time.com/time/subscriber/article/0,33009,870954,00.html
  2. L

    Natafuta Wateja wa Websites. Niko Arusha

    Blog gharama inaanzia shilingi 65.000
  3. L

    Natafuta Wateja wa Websites. Niko Arusha

    Reseller account utaniuzia bei ngapi kwa mwaka?
  4. L

    Darasa la Programming for beginners (Jifunze Kutengeneza Website From the Scratch)

    Kuchwizzy Unatafutwa huku umalize darasa maana wanafunzi tupo wengi
  5. L

    Natafuta Wateja wa Websites. Niko Arusha

    Huduma inapatikana kwa gharama nafuu
  6. L

    Natafuta Wateja wa Websites. Niko Arusha

    Nitumie namba yako kwa email nitakupigia.Kwa sasa hivi namba yangu ni binafsi ila soon nitaweka namba ya kazi na nitaiweka humu.
  7. L

    Natafuta Wateja wa Websites. Niko Arusha

    Sijasoma degree wal diploma ya IT,Nimejifunza na hata sasa bado najifunza na pia huwa nafanya kazi kwa kushirikiana na wengine hasa pale ninapokwama.Kama una uzoefu pia tunaweza kufanya kazi pamoja. Karibu
  8. L

    Je, ni salama kujenga karibu na mgodi?

    Na bado inachimbwa sana dhahabu huko geita
  9. L

    Natafuta Wateja wa Websites. Niko Arusha

    Habari za wakti huu; Kwa jina naitwa Libera Niko Arusha ni binti wa miaka 22.Ninafanya biashara ya kuuza website na bidhaa nyingine za kidigitali.Mwanzoni nilikuwa nafanya shughuli ndogo ndogo lakini nikapata mwalimu akanifundisha jinsi ya kutengenza website kwa kutumia wordpress.Kwa sasa...
  10. L

    Nimempeleka mtu polisi baada ya kuniibia, nashangaa kumuona uraiani akinitambia simuwezi

    Mkuu dhamana ni haki yake hata kama unamadai mamilioni.Kama ni wizi lazima uwe na ushahidi wa kueleweka ili uweze kumpeleka mahakamani.Jambo la kuzingatia kwa sasa ni kutafuta namna ya kuthitisha kama kweli anahusika na hizo mali zako
Back
Top Bottom