Unaposikia ndoa ndo hivyo. Lazima uwe na uwezo wa kukabiliana na kila hali inayojitokeza bora tu haihatarishi uhai wako. Usitegemee hats siku moja ukaishi ndani ya ndoa kama peponi. Kila changamoto itokeapo ndo nafasi pia ya kunipima kama umekomaa kiuanaume au bado una madhifu ya kutaka mkeo awe...
Wewe nawe...angalia rangi ya kijani isije ikageuza akili na ufahamu wako kuwa kama wa mbuzi mla majani.[emoji51] [emoji51]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona mkuu wa kaya wakati fulani alijitoa kumlipia mtu pale Muhimbili halafu baada ya muda mfupi watu wakaanza kumchangia.
Ile pesa ilikuwa ndogo sana kulinganisha na anachokipata na isitoshe ile ni hospitali ya kaya huku yeye akiwa mkuu wa hiyo kaya.. Hilo wewe hukuliona.
Watu...
Hivi mwenye mamlaka ya kuteua majaji ni nani. Na mwenye mamlaka ya uteuzi aweza kuwa na sauti juu ya wateuliwa?? "Tafakari, chukua ufahamu"
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi hiyo dreamliner imenunuliwa na chama au ni serikali kwa fedha ya kodi za wananchi wote?
Tutofautishe fedha ya serikali na ya vyama vya siasa. Chama chochote kikitawala haina maana kwamba ndicho kinatumia fedha zake kwa uchumi wa nchi, hata kidogo. Kwenye halmashauri moja hapa nchini, chama...
Mbona hueleweki vema mkuu. Umesema wakati ulipokuwa unachapa maji papuchi ilikuwa mbali na wewe kabisa hadi alipokuja huyo nesi ukaonja kamoja tu tena kichovu kabisa. Sasa huo uzinzi unaosema unakusumbua ndo upi. Labda malizia story yako ili tukuelewe vzr.
Wengine huku hata kama tutaahidiwa...
Malengo yako kwake ni nini. Kama ni kula mzigo tu jiulize ana nini cha zaidi hadi ugharamikie hivyo, tena yakiwa ni malipo ya awali tu kama ya kulipia maombi ya kipatiwa kiwanja ambayo huwa hayarudishwi bila kujali utakipata au la.(unaringa mini Dada, ina TV ndani!!)
Na kama ni kuoa sidhani kama...
Huu ni mwaka wa kufanyika ulaji mkuu.. .anajua akileta maneno kidogo tu baba mwenye mji ataagiza jumuia yake isimteuwe kugombea ulaji mkuu, na hapatakuwepo wa kujaribu kuyapinga hayo maagizo ndani ya jumuia ambayo nasikia inaitwa "Chukua Cha Mabavu"
Sent using Jamii Forums mobile app
Kulingana na mwwnsndi mzima wa uchaguzi ulopita wa serikali za mitaa hapa nchini, mwakani patakuwepo na uteuzi wa wabunge na madiwani tu na si uchaguzi. Kwa upande wa rais hakuna haja ya hata ya uteuzi kwani hakika hata kama atatikea mgombea wa upinzani anayeng'ara kama dhahabu kwa wananchi...
Hawa NIDA kiuhakika wanapaswa kuwajibishwa kwanza ndo wananchi wafuate. Leo kuna ndugu yangu alikuwa amejiandikisha toka oktoba na wakamwambia namba yake ataipata baada ya mwezi mmoja. Sasa cha ajabu leo tarehe 23/12/2019 ameenda kufatilia japo namba yake, ila akapigwa na butwaa baada ya...
Ila ushamba mkubwa zaidi ni ule wa kuengua wagombea wa upande mwingine ili ujitangaze kupita bila kupingwa huku tukijisifia kuwa na demokrasia iliyo bora...SERIKALI ZA MITAA JUU.!!!
Ni kweli hakuna mbabe juu ya hawa jamaa. Wakiamua kukunyong'onyeza kwa vikwazo vya kiuchimi huna jinsi Bali lazima tu utaadhiririka achilia mbali raslimali zako. Tuangaliye kwa mataifa mengine mfano wa Iran nk.
Endapo huo ujao utafanyika bila magumashi na ufeshuli kama huu wa mitaa, na chini ya tume yauchaguzi isokuwa na bosi wake ambaye ni mgombea, hakika upinzani utatikisa kuliko chaguzi zote zilizopita. Huu uchafuzi ulopita umewaudhi wengi hata wanaccm wwnyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.