mu ole na majukumu kuna njia naweza kukushauri nenda pale jangwani kuna malori then ongea nao wanaweza kukusaidia ila andaa kabisa document zote za pikipiki na ikiwezekana ingia mkataba na hao jamaa.Au njia nyingine ambayo ni safe Zaidi fungua hiyo pikipiki ibaki kwenye box kama yale yanayoletewa kutoka china then nenda ofisi za posta watakusaidia kusafirisha as parcel to KaratuJe, usafiri gan utakuwa mzuri zaidi na wa bei nafuu kusafirisha pikipiki kutokea Dar kwenda Karatu?