Wakuu Tafadhalini Kuna Yeyote anaejua ni lini Usaili Utafanyika wa Zile nafasi zilizotangazwa kule ajira portal mwishoni mwa mwezi wa sita ?
Nina wasiwasi labda inaweza Kuwa mwakani Ili watakaoajiriwa waanze katika mwaka mpya wa Fedha. Yaani July 2026 ?
Anaejua Atutoe hofu Please?
Sheria mpya za Nssf zinawakataza kukulipa pesa Yako kama hujafikisha umri wa kustaafu. Ni maelekezo Yao wao wenyewe kwenda kwa kampuni.
Me Nina jamaa zangu kampuni imechangia fresh TU na mzigo wote upo Nssf LAKINI Nssf wakagoma
Brother hii nchi Ina vijana ni was€ng€ Sana na Waoga. Hili Tangazo niliposikia nilipenda Moja Kwa Moja Hadi pale bandari na nikaliona lipo kama lilivyo.
Utashangaa Kuna Kichaa mmoja anatishia Watu eti watatapeliwa.
Na niwaambie Tu uog awenu umeshawakosesha Kazi. Watu waliotuma mwanzo wengi...
Binafsi sifurahii. Namna Ambavyo hii Taasisi inaongozwa. Ningepata namna ya Kuwa Rais ningeunda Taasisi nyingine. Ningeipa mission za kupigania nchi katika masuala ya Kiuchumi, Kijamii na Utawala Bora.
✓Ningenyonga wezi na mafisadi.
✓Ningeondoa Watu wavivu na wasiotaka Kutimiza majukumu Yao.
✓...
Mkuu umeuliza Maswali Mazuri kweli. Ndani ya CCM Tupo Watu tunatamani Kuona nchi inasonga mbele lakini nikifikiria namna Ambavyo Watu wanaweza kukufanya nabaki na maumivu sana
Hongera Afande. umeongea Kwa Hisia na Nina Imani. Kwa Upendo wa mama Samia. Atasikia ulichoomba.
Mkiongezewa mtukumbuke na sisi tuliopenda Kuwa Askari lakini tunazeekea Tu uraiani.
Wakuu Nilisikia Kuna Channel na Procedure za kufuata kama Mtu Huna Pesa ya Ada na Serikali Inaweza Kukusomesha.
Ila Sasa Sijapata Kujua Exactly Ninawezaje Kupata Nafasi hii. Hasa katika ngazi ya Diploma au Certificate?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.