A
Anonymous
Guest
Naomba msaada nijue haki yangu naipata wapi Mimi niliajiriwa katika kampuni binafsi na nimemaliza mkataba wangu.
Kama ilivyo makubaliano ya mkataba ni WA muda mfupi 12 months na yote nimetumikia, nilipoandika barua ya kutoa taarifa ya kutoendelea na wao baada ya mkataba huu kuisha kama ilivyo taratibu kuwa lazima mwezi mmoja kabla umwambie au akuambie na walinijibu kupokea barua yangu; Kisha taratibu zingine zikafanyika lakini nilipoenda kudai mafao ya kukosa ajira NSSF nikaambiwa naonekana mimi ND nime resign sio kuisha kwa mkataba wetu.
Niliandika barua kwenda NSSF kuwaomba wachunguze lakini pia hawakuonesha hushirikiano wakisema nirudi niongee na muajiri wangu lakini nilipofika tena kwao wanasema mimi Sina haki pia kuna wenzangu wameshaenda hadi mahakama ya kazi lakini wameshindwa kesi.
Niachane na hilo suala? Yaani vitisho vingi pia, tuko wengi wa tatizo hili hatuna msaada wa kisheria. Kampuni inatumia madaraka yake sisi tunakosa msaada
🙏🙏
Kama ilivyo makubaliano ya mkataba ni WA muda mfupi 12 months na yote nimetumikia, nilipoandika barua ya kutoa taarifa ya kutoendelea na wao baada ya mkataba huu kuisha kama ilivyo taratibu kuwa lazima mwezi mmoja kabla umwambie au akuambie na walinijibu kupokea barua yangu; Kisha taratibu zingine zikafanyika lakini nilipoenda kudai mafao ya kukosa ajira NSSF nikaambiwa naonekana mimi ND nime resign sio kuisha kwa mkataba wetu.
Niliandika barua kwenda NSSF kuwaomba wachunguze lakini pia hawakuonesha hushirikiano wakisema nirudi niongee na muajiri wangu lakini nilipofika tena kwao wanasema mimi Sina haki pia kuna wenzangu wameshaenda hadi mahakama ya kazi lakini wameshindwa kesi.
Niachane na hilo suala? Yaani vitisho vingi pia, tuko wengi wa tatizo hili hatuna msaada wa kisheria. Kampuni inatumia madaraka yake sisi tunakosa msaada
🙏🙏