Recent content by Lerionka ole saidimu

  1. L

    Wale tuliosima shule hizi njooni tujuane

    Lile la shighatini walilidumbukiza mtoni
  2. L

    Vijana jiepusheni na mambo haya, huweza pelekea ukajutia maishani mwako milele

    Sawa mkuu ngoja nipunguze starehe nibaki na manzi moja nioe
  3. L

    Sub Woofer nzuri ni ipi?

    Trust no one bora uende tu dukani
  4. L

    Kama hujasoma vitabu hivi basi wewe umekosa utamu wa kusoma vitabu

    Kati ya kazi ambayo hainiingizii hata kumi kwenye maisha yangu ni kusoma hayo mavitabu bora niwaze ntapataje hela kuliko kusoma mawazo ya watu tena yasiyokuwa na mchango wowote kwenye mazingira ninayoishi ni nimeshindwa kwakweli
  5. L

    Kama na wewe hujui kabila lako, pitia hapa

    Mi watu hudhani kuwa ni mchaga sijui huku umasaini nimetokea wapi huwa nashindwa kabisa kuujua ukweli kuhusu chimbuko langu
  6. L

    Fahamu ni kwanini watu hawaogopi athari za uvutaji wa sigara

    Hata dhambi tunazofanya zinafaida kwa wengine Wazinzi wanachangia pato la taifa kwenye guest house na kununua condom Wavutaji sigara wanaongeza pato la taifa pia wanasaidia biashara ya madawa wakiugua Yaani kuna mambo huwezi kuyazuia yasifanyike kwenye maisha ya binadamu hata kama yana madhara...
  7. L

    Kwenu waheshimiwa Patrobas Katambi(DC Dodoma) na Godwin Kunambi(mkurugenzi jiji Dodoma)

    Sikuhizi hadi mashoga nao wameoa kweli wanawake wana huruma
Back
Top Bottom