Kati ya kazi ambayo hainiingizii hata kumi kwenye maisha yangu ni kusoma hayo mavitabu bora niwaze ntapataje hela kuliko kusoma mawazo ya watu tena yasiyokuwa na mchango wowote kwenye mazingira ninayoishi ni nimeshindwa kwakweli
Hata dhambi tunazofanya zinafaida kwa wengine
Wazinzi wanachangia pato la taifa kwenye guest house na kununua condom
Wavutaji sigara wanaongeza pato la taifa pia wanasaidia biashara ya madawa wakiugua
Yaani kuna mambo huwezi kuyazuia yasifanyike kwenye maisha ya binadamu hata kama yana madhara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.