Inategema na impact unayoleta kwenye taifa lako..kama layman anajituma na kuleta maendeleo wakati profesa mwafrica kakaa tu bure ofisini hatuoni anachofanya then better a layman no matter where the layman is.
Water front ndio mpango mzima....japo hotel zake ghali kidogo maeneo haya unakuja kutalii siku nzima then unasepa zako kwenda kulala kwenye townships:wink2:.....
Hapa bongo uwaziri watu tunaupigania..nchini Korea kwa bwana mdogo ukipewa uwaziri jua ukizembea tu umeenda na maji..dogo hana utani.
Kuna waziri alimpiga bomu majuzi kwa kusinzia wakati wa hotuba...
Rachel mtoto mrembo hatari......ugaidi umeanza lini kulipua majengo. Pole sana kwa urembo ulio nao hukustahili kutaabika kiasi hiki hadi kufikia kuwa gaidi na fisadi. So sad.
Siku kuna umri wa aina mbili..umri wa pasipoti/RITA na umri wa kudanganyia kwenye mitandao...Lulu wa Kanumba nae alikua mtoto akadanganya umri ili tu aruhusiwe kuingia disco..kilichompata baada ya kumuua Kanumba anajua mwenyewe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.