Kuna watu hawaelewi wanachokiongea humu, siku akili zao zikikaa sawa na wakianza kujitegemea na kutafuta maisha watajua watu wanalalamikia kitu gani, acha waendelee na maisha wanayoyataka siku biashara zote zikikata hapa town na vimishahara vikibaki kununulia chakula na nauli wataelewa tu maana...
Vyovyote ilivyo, haina ubishi kuwa Mwandosya ni mtu mahiri, asiye na makundi, muelewa na ni kipenzi cha wana ccm wapenda haki na maendeleo ya nchi, anajua kinachoendelea kwa baba Riz na wapi wamefikia! Sijapenda vile alivyojitoa kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.