Unatafuta nafasi ya masomo Australia?

Unatafuta nafasi ya masomo Australia?

Mwanangu anataka kufanya aircraft engineering, amemaliza form four hataki kwenda A level. Vipi mnaweza niunganisha na chuo kizuri akaanza na ngazi ya certificate/diploma ya course hiyo?
 
Mwanangu anataka kufanya aircraft engineering, amemaliza form four hataki kwenda A level. Vipi mnaweza niunganisha na chuo kizuri akaanza na ngazi ya certificate/diploma ya course hiyo?

Hello, nimemkabidhi kazi ya kufuatilia hiyo issue yako mmoja wa maofisa wetu na nitakujulisha kesho maendeleo yake. Kwa kifupi ni kuwa inawezekana ila bado anafuatilia sifa za kujiungia (entry requirements) hasahasa moja kwa moja kwenye diploma ya aircraft maintenance engineering (I hope ulipoandika aircraft engineering ulimaanisha aircraft maintenance engineering - kama siyo tafadhali nishtue). Diploma is the best alternative kuliko certificate kwa hiyo tunaangalia kwanza possibilities zake kwenye TAFE institutes ambao wanagharama nafuu (kuliko private providers wengine) lakini quality yao ipo juu.
 
Mkuu mfano nataka nikachukue masters ya public administration, gpa ya 2.6,inakubalika?
 
mkuu vp kwazile kozi za diploma kupitia tasisi za TAFE kwenye fani za
  • uhandisi madini kwa jumla kama : petroleum, natural gas, gold, nickel, etc
  • management of/economy of natural resources
Entry requirements zake zinaendaje/zinakuaje? Pl saidia!
 
Mkuu mfano nataka nikachukue masters ya public administration, gpa ya 2.6,inakubalika?

Mkuu, mambo ya GPA yanakuwa kigezo kikubwa kwenye ushindani wakati wa kuomba ufadhili (scholarship). Kwa maana ya kwamba aliyefaulu sana ndiye ananafasi ya kupata ufadhili sababu scholarship moja inaombwa na watu wengi. Lakini, kama mtu anampango wa kujilipia karo udahili (admission) unapata bila shida yoyote. Angalizo, kuna scholarship nyingine wanaangalia uzoefu wako kazini, nafasi za uongozi ulizopitia na mambo mengine mengi, cha msingi ni kutokuwa mvivu wa kupitia mitandao inayotoa scholarships na kutokata tamaa kirahisi.

Nakushauri upitie hizi scholarship opportunities za Australia -zitafunguliwa mwezi ujao. Masters Awards | Australia Awards

Kila la heri mkuu
 
mkuu vp kwazile kozi za diploma kupitia tasisi za TAFE kwenye fani za
  • uhandisi madini kwa jumla kama : petroleum, natural gas, gold, nickel, etc
  • management of/economy of natural resources
Entry requirements zake zinaendaje/zinakuaje? Pl saidia!

Mkuu, nitakujibu vema kesho (pamoja na mwingine hapo awali aliyeulizia kuhusu diploma ya aircraft engineering). Nimemwachia hilo swali anayeshughulia recruitment za TAFE.

Cheers

IBSCS
 
Mwanangu anataka kufanya aircraft engineering, amemaliza form four hataki kwenda A level. Vipi mnaweza niunganisha na chuo kizuri akaanza na ngazi ya certificate/diploma ya course hiyo?

Hongera kwa kukuza.
 
Mkuu, mambo ya GPA yanakuwa kigezo kikubwa kwenye ushindani wakati wa kuomba ufadhili (scholarship). Kwa maana ya kwamba aliyefaulu sana ndiye ananafasi ya kupata ufadhili sababu scholarship moja inaombwa na watu wengi. Lakini, kama mtu anampango wa kujilipia karo udahili (admission) unapata bila shida yoyote. Angalizo, kuna scholarship nyingine wanaangalia uzoefu wako kazini, nafasi za uongozi ulizopitia na mambo mengine mengi, cha msingi ni kutokuwa mvivu wa kupitia mitandao inayotoa scholarships na kutokata tamaa kirahisi.

Nakushauri upitie hizi scholarship opportunities za Australia -zitafunguliwa mwezi ujao. Masters Awards | Australia Awards

Kila la heri mkuu

Gpa not a big deal, kuna jamaa kibao wamepata na wana G/man
 
Gpa not a big deal, kuna jamaa kibao wamepata na wana G/man

Not always, some (in fact the majority of ) scholarships clearly specify the levels of academic grades required and the higher the grades, the more competitive is the applicant. This is pretty obvious anyway.
 
Mkuu ada kwa miaka yote miwili ya masters ya p/admin,itagharimu kama sh ngapi? Cm yang haina uwezo wa kudownld
 
Mkuu ada kwa miaka yote miwili ya masters ya p/admin,itagharimu kama sh ngapi? Cm yang haina uwezo wa kudownld

Mkuu ada na muda (duration ya course) zinatofautiana kutoka university hadi university. Mfano kwa university of Monash wenyewe hii
programme ni mwaka mmoja na nusu na ada (jumla) ni 35,700AUD. Wakati university of Sydney programme kama hiyo (Public admin) inakwenda kwa 45,000AUD na ni kwa mwaka mmoja.
 
Mwanangu anataka kufanya aircraft engineering, amemaliza form four hataki kwenda A level. Vipi mnaweza niunganisha na chuo kizuri akaanza na ngazi ya certificate/diploma ya course hiyo?

Hello, sorry kwa kuchelewa kukujibu.

Kama nilivyosema awali kwamba inawezekana kwa mwanao kusomea diploma ya aircraft maintenance engineering. The minimum entry requirements are successful completion of secondary school (O-level). The student will need to have IELTS score of 6 across the 4 bands (speaking, listening, reading and Writing). This exam can be done at the British Council in Dar es Salaam. Please make sure that the student does the ACADEMIC and not the GENERAL option.

Students have an option to do extra English classes in Australia if the proficiency level is not met. For example where a student scores a 4.5 or 5 and the required score is 6, then they can do extra language courses in Australia before they start their program.

Once the student has the IELTS results or has a date booked, we will then start the application process. There is a need for the student to have access to adequate funds. This is usually a 3 months Genuine Savings from an acceptable source. Acceptable source include; Full government scholarship, Family, Not-for- Profit organization or a relative such as the uncle who is not living in Tanzania. Once an offer has been issued, the student will need to pay a percentage of tuition fees (one semester fee) to be issued with an electronic confirmation which is required for the student visa application.

Kitu cha mwanzo kabisa kinachohitajika ni mwanao kufanya mtihani wa IELTS (academic) hapo British Council Dar na akishapata majibu ama akipangiwa tarehe ya kufanya unaweza kuwasiliana nasi kupitia admin@ibscservices.com

Kila la heri

IBSCS
 
mkuu vp kwazile kozi za diploma kupitia tasisi za TAFE kwenye fani za
  • uhandisi madini kwa jumla kama : petroleum, natural gas, gold, nickel, etc
  • management of/economy of natural resources
Entry requirements zake zinaendaje/zinakuaje? Pl saidia!

Mkuu, TAFE wana engineering courses katika mining lakini mainly ni Open-cut na Underground mining. TAFE hawana courses za Petroleum drilling.

The minimum entry requirements are successful completion of secondary school (O-level). The student will need to have IELTS score of 6 across the 4 bands (speaking, listening, reading and Writing). This exam can be done at the British Council in Dar es Salaam. Please make sure that the student does the ACADEMIC and not the GENERAL option.

Students have an option to do extra English classes in Australia if the proficiency level is not met. For example where a student scores a 4.5 or 5 and the required score is 6, then they can do extra language courses in Australia before they start their program.

Once the student has the IELTS results or has a date booked, we will then start the application process. There is a need for the student to have access to adequate funds. This is usually a 3 months Genuine Savings from an acceptable source. Acceptable source include; Full government scholarship, Family, Not-for- Profit organization or a relative such as the uncle who is not living in Tanzania. Once an offer has been issued, the student will need to pay a percentage of tuition fees (one semester fee) to be issued with an electronic confirmation which is required for the student visa application.

Kila heri mkuu

IBSCS
 
Mkuu, TAFE wana engineering courses katika mining lakini mainly ni Open-cut na Underground mining. TAFE hawana courses za Petroleum drilling.

The minimum entry requirements are successful completion of secondary school (O-level). The student will need to have IELTS score of 6 across the 4 bands (speaking, listening, reading and Writing). This exam can be done at the British Council in Dar es Salaam. Please make sure that the student does the ACADEMIC and not the GENERAL option.

Students have an option to do extra English classes in Australia if the proficiency level is not met. For example where a student scores a 4.5 or 5 and the required score is 6, then they can do extra language courses in Australia before they start their program.

Once the student has the IELTS results or has a date booked, we will then start the application process. There is a need for the student to have access to adequate funds. This is usually a 3 months Genuine Savings from an acceptable source. Acceptable source include; Full government scholarship, Family, Not-for- Profit organization or a relative such as the uncle who is not living in Tanzania. Once an offer has been issued, the student will need to pay a percentage of tuition fees (one semester fee) to be issued with an electronic confirmation which is required for the student visa application.

Kila heri mkuu

IBSCS

Hongera kwa kazi kubwa.. Mimi nataka kusoma masters je utanisaidiaje?
 
Mkuu, TAFE wana engineering courses katika mining lakini mainly ni Open-cut na Underground mining. TAFE hawana courses za Petroleum drilling.

The minimum entry requirements are successful completion of secondary school (O-level). The student will need to have IELTS score of 6 across the 4 bands (speaking, listening, reading and Writing). This exam can be done at the British Council in Dar es Salaam. Please make sure that the student does the ACADEMIC and not the GENERAL option.

Students have an option to do extra English classes in Australia if the proficiency level is not met. For example where a student scores a 4.5 or 5 and the required score is 6, then they can do extra language courses in Australia before they start their program.

Once the student has the IELTS results or has a date booked, we will then start the application process. There is a need for the student to have access to adequate funds. This is usually a 3 months Genuine Savings from an acceptable source. Acceptable source include; Full government scholarship, Family, Not-for- Profit organization or a relative such as the uncle who is not living in Tanzania. Once an offer has been issued, the student will need to pay a percentage of tuition fees (one semester fee) to be issued with an electronic confirmation which is required for the student visa application.

Kila heri mkuu

IBSCS

Asante sana mkuu, kwa kuongezea tu, Je hakuna vyuo vingine vinavyotoa kozi kwa ngazi ya cheti au diploma kwa upande wa mambo yoyote yale yahusuyo Petroleum, Oil and Natural gas, iwe ktk uhandisi, au uchumi? Pl tafadhari saidia!
 
Asante sana mkuu, kwa kuongezea tu, Je hakuna vyuo vingine vinavyotoa kozi kwa ngazi ya cheti au diploma kwa upande wa mambo yoyote yale yahusuyo Petroleum, Oil and Natural gas, iwe ktk uhandisi, au uchumi? Pl tafadhari saidia!

Fresh mkuu!
Najua zipo universities zinazofundisha petroleum engineering na zinatoa bachelor, postgraduate diploma na masters. Bofya hapa na hapa kuona mifano. Bado sijaona zinazotoa certificate na diploma, nikipata hizo info nitakurushia bila shida.

Kila la heri

IBSCS
 
Back
Top Bottom