TANU hawakuwa wabinafsi mission yao ilikuwa moja kudai uhuru, ndo maana hata alipokuja mwalimu watangulizi wake waliona wamwachie bila kumuwekea figisu kulikuwa na Viongozi wenye maono na wasio wabinafsi, CCM ya sasa imejaa Wezi Wabinafsi na wenye tamaa, wana roho ya nkikosa tuharibikiwe wote...
Ukiitoa Sudani ambayo imejitenga nchi zilizobaki ni zao la Berlin conference, Tanganyika ipo kama ilivyo na Zanzibar ipo kama ilivyo. Hata kisiwa cha Mafia sio Zanzibar ni mkoa wa Pwani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.