Ilikuwaje TANU Ikasalimika na Udini?

Ilikuwaje TANU Ikasalimika na Udini?

Zemanda,
Mimi nimeandika historia ya Waislamu na mchango wao katika kupigania uhuru wa Tanganyika.

Huu si udini.
Nimeonyesha hapa udini.

Hivi kweli unatamani kama historia hii ingebakia haifahamiki?
Wewe ni mwendawazimu kweli yaani unakataa kuitwa mdini wakati unaandika upuuzi unaoitwa historia kwa watu wa dini moja tu wewe ni mshenzi kweli
 
Zemanda,
Mimi nimeandika historia ya Waislamu na mchango wao katika kupigania uhuru wa Tanganyika.

Huu si udini.
Nimeonyesha hapa udini.

Hivi kweli unatamani kama historia hii ingebakia haifahamiki?
Mzee mimi sio mjinga halafu mimi nimezaliwa katika jamii ambayo haina udini. Mtu kama wewe na hoja zako ni rahisi sana kubaini dhamira yako.

Lengo lako ni dhahiri sio kuelimishana ila unatumia huu mwanya kutengeneza narrative ya kibaguzi ili waislam wahisi kudhurumika na kunyanyasika.

Huu ni upandikizaji wa chuki ya wazi wazi. Kwa hili sitakuachia na nitakutangaza kwa huu uovu. Wewe na wale interahamwe wa RWANDA MASSACRE hauna tofauti.

Nimeshakopi hizi nyuzi zako na kuscreenshot vichwa vya hizi nyuzi kama ushahidi incase ukitaka kubadilika kuficha ushahidi.

Wewe sio mtu mzuri unataka kuwachonganisha raia kwa kuwapa sababu na hoja za kibaguzi ili waanze kutazamana kwa macho ya kubaguana. Wewe sio mtu mzuri kwa taifa.

Watu kama wewe ndio Nyerere alikuwa anawaweka kifungo cha ndani kwasababu mnapenda kuanzisha mijadala ya kibaguzi mkijifanya mnatafuta haki.

Wewe sio mtu mzuri narudia tena, wewe MZEEE NI MFITINISHAJI NA UNA ROHO MBAYA SANA YA UBAGUZI.
 
Wewe ni mwendawazimu kweli yaani unakataa kuitwa mdini wakati unaandika upuuzi unaoitwa historia kwa watu wa dini moja tu wewe ni mshenzi kweli
Huyu mzee anataka kuleta mambo ya kipumbavu anahisi sisi ni wajinga. Sasa muache aendelee na hizo video zake za uchonganishi na unafiki.

Huyu tutakwenda nae sambamba.
 
Hapa tuko pamoja...

Simulizi zako ni za waislamu sio watanganyika.
Hakika umesema kweli ni simulizi za Watanganyika Waislamu walivyopigania uhuru wa Tanganyika.
The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika.
 
Anajua anachokifanya anatumia muda mwingi kuandika maandiko ya udini akijiegemeza upande wa uislamu na kuwajaza waislam chuki dhidi ya wakristo. Huyu mzee ni mchonganishi.
Zemanda,
Unajitisha pasi na sababu.
Kitabu kina miaka 28 na hakuna Muislamu aliyehamasishwa na kitabu cha Abdul Sykes akafanya vurugu.
 
Zemanda,
Unajitisha pasi na sababu.
Kitabu kina miaka 28 na hakuna Muislamu aliyehamasishwa na kitabu cha Abdul Sykes akafanya vurugu.
Madhara ya kitabu chako yameonekana kwa shekh aliyetishia kuwakata vichwa waandamanaji...

Namnukuu akisema "waisilamu tumepigania uhuru wa nchi hii"

Huyu shehe anaamini wakati waislamu mnapigania uhuru, wakristo na wapagani walikua wamejifungia ndani...
 
Hakika umesema kweli ni simulizi za Watanganyika Waislamu walivyopigania uhuru wa Tanganyika.

The Untold Story of the Muslim Struggle Against British Colonialism in Tanganyika.
Wakati huo wapagani na wakristo wakiwa wapi?
 
Madhara ya kitabu chako yameonekana kwa shekh aliyetishia kuwakata vichwa waandamanaji...

Namnukuu akisema "waisilamu tumepigania uhuru wa nchi hii"

Huyu shehe anaamini wakati waislamu mnapigania uhuru, wakristo na wapagani walikua wamejifungia ndani...
Nyakubonga,
Unadhani ushahidi huo wako unaweza kunitia mimi hatiani mahakamani?

Unajua kuna hotuba Mwalimu Nyerere alisema, " Wakristo tulikuwa mimi na John Rupia?"
 
Huyu mzee anataka kuleta mambo ya kipumbavu anahisi sisi ni wajinga. Sasa muache aendelee na hizo video zake za uchonganishi na unafiki.

Huyu tutakwenda nae sambamba.
Zemanda,
Vitisho vya nini?

Mimi naalikwa Bibi Titi Festival, Ikwiriri miaka mitatu sasa mfululizo nikiwa mgeni wa serikali na napandishwa jukwaani kuzungumza wewe unanitisha leo?

Mimi TBC mara chungu mzima wanakuja Maktaba kufanya mahojiano nami wewe unanitisha mimi leo?

Wewe uko hapa JF umeficha sura na jina lako wakati mimi nipo hapa kwa sura, sauti na jina langu halisi?

Kitabu kimetoka mwaka wa 1998 Mwalimu Nyerere yuko hai na kakisoma.
Wewe unajua leo kuwa kuna kitabu cha Abdul Sykes baada ya miaka 28 kupita?

Katafute watu wengine wa kutisha si mimi:


View: https://youtu.be/ja_cL5te4Lw?si=E_o2PinWrxEkl4QU
 
Abuu,
Wazee wetu waliona balaa lililoikumba India kwa kuingia katika kudai uhuru vyama vyao viwili Congress Party kikiwa chama cha Wahindu na Islamic League kikiwa chama cha Waislam.

Kila chama kinamtazama mwengine kama adui mkubwa.

Usiku 1947 wanashusha bendera ya Muingereza wanapandisha bendera ya India huru asubuhi vita vya wenyewe kwa wenyewe vinaanza.

Vikamalizika kwa kugawana ardhi kila mtu na kwao.

Ilikuwa Abdulwahid Sykes achukue uongozi wa TAA kama President 1953 na 1954 waunde TANU na wadai uhuru.

Hamza Mwapachu akamwambia Abdul chama cha TANU kitakuwa kama Al Jamiatul Islammiya fi Tanganyika (Umoja wa Waislam wa Tanganyika) kwani Waislam tumejazana katika siasa Wakristo wako pembeni.

Njia ya kuwavuta Wakristo watuunge mkono ni Julius Nyerere atiwe kwenye uongozi wa juu wa TAA 1953 na 1954 TANU inaundwa na Nyerere anaongoza harakati za kudai uhuru.

Wakristo wataingia TANU kwani hawataiona TANU kama chama cha Waislam.

Kinyume cha hivi Waingereza watawaambia Wakristo waunde chama chao kupambana na TANU chama cha Waislam.

Tanganyika ingeingia kudai uhuru ikiwa na vyama viwili hasimu vilivyojikita kwenye dini.

Bahati mbaya mno Nyerere akiogopa sana kueleza ukweli vipi juu ya ugeni wake Abdul Sykes alimshika mkono hadi kuwa kiongozi wa TAA 1953 na TANU 1954 na 1955 akazungumza UNO.

Leo Tanzania hali ndiyo hii ingekuwaje kama tungeingia kudai uhuru tumegawanyika kwa misingi ya Uislam na Ukrist

Mwezi June, 1953 Makao Makuu ya TAA, New Street ilitangaza Kamati yake ya Utendaji: J. K. Nyerere, Rais, Abdulwahid Sykes, Makamu wa Rais; J. P. Kasella Bantu, Katibu Mkuu; Alexander M. Tobias na Waziri Dossa Aziz, Katibu wa muhtasari; Wajumbe wa kamati: Dr Michael Lugazia, Hamisi Diwani, Tewa Said Tewa, Denis Phombeah, Z. James, Dome Okochi, C. Ongalo na Patrick Aoko.
TANU hawakuwa wabinafsi mission yao ilikuwa moja kudai uhuru, ndo maana hata alipokuja mwalimu watangulizi wake waliona wamwachie bila kumuwekea figisu kulikuwa na Viongozi wenye maono na wasio wabinafsi, CCM ya sasa imejaa Wezi Wabinafsi na wenye tamaa, wana roho ya nkikosa tuharibikiwe wote. Walianza na hoja mkiwachagua wapinzani ni chama changa wakaja Upinzani wa Lipumba una misimamo ya udini wakati huo huo anagombea na kikwete muislam kama yeye Wakaja na hoja ya CHADEMA ni ukanda wa kaskazin chama cha kikabila Wakaja Chama cha mabeberu wakaja chama kinasupport Ushoga, sahivi wanasema Chama cha kikatoliki, na sasa wanawekeza nguvu kubwa kutoa pesa kwa KKKT na bakwata wakidhan wanajenga taasisi imara za kidini kumbe ndo wanavuruga, kirusi kwenye Taifa hili ni mtu yeyote mwenye ukaribu na CCM
 
Zemanda,
Vitisho vya nini?

Wewe unajua leo kuwa kuna kitabu cha Abdul Sykes baada ya miaka 28 kupita?

Katafute watu wengine wa kutisha si mimi:


View: https://youtu.be/ja_cL5te4Lw?si=E_o2PinWrxEkl4QU


umeshaandaa mrithi wako lkn kwa maana unaonekana umri umekutupa mkono, una labda 10-15 years max. left, sijawahi kusikia watoto wako wakiposti "historia ya muslims" nani ataendeleza kazi zako na maktaba yako au ndiyo utaenda na historia yako ya muslims? ...
 
Sykes! 👏👏👏👏👏
1783486482209.jpeg

Kitabu cha Abdulwahid Sykes (1924 - 1968) na kitabu cha Julius Nyerere (1922 - 1999) Maktaba.
 
umeshaandaa mrithi wako lkn kwa maana unaonekana umri umekutupa mkono, una labda 10-15 years max. left, sijawahi kusikia watoto wako wakiposti "historia ya muslims" nani ataendeleza kazi zako na maktaba yako au ndiyo utaenda na historia yako ya muslims? ...
Kijakazi,
Mtume Muhammad (SAW) amesema, ''Umma wangu umri wao ni miaka 60/70.

Mimi nina miaka 74.

Wewe unanipa miaka 10 - 15.
Hiyo mbona mingi sana?

Mimi nakula miaka ya bonus.
Niko departure lounge na tiketi yangu ni one way.

Nimeandika kila kitu nilichojifunza katika historia ya uhuru wa Tanganyika ila
vile ambavyo sikuwa na ithibati.

Nashukuru kuwa sitaondoka na kuingia mwanandani (kaburini) na elimu yangu.

Allah kanijaalia kuigawa elimu hii bila khiyana si hapa nyumbani tu bali hadi
nje ya Tanzania.

Hivi sikuviandika lakini katika mazungumzo nimepata kuwaeleza watu.

Mathalan kuna barua kati ya Mangi Mkuu Thomas Marealle na Ally Sykes wakati wa kupigania uhuru.
Chief Marealle na Abdul Sykes walikuwa marafiki wakubwa.

Nimeeleza urafiki wao huu katika kitabu cha Sykes.

Barua hizi zina mengi ambayo Chief Marealle alikuwa anahofia yatatokea
baada ya uhuru.

Hali kadhalika kuna barua za Mamboleo Makoko kwa Ally Sykes akimwandikia
kutoka London.

Hizi barua sikuzieleza katika kitabu cha Sykes kwa sababu ingebidi kupata
maelezo kutoka wote waliokuwa wanatajwa na wao niwasikilize.

Hili halikuwa jambo la busara nilivyoona kwa wakati ule.
Mifano kama hii ninayo mingi.

Haya ni maisha yangu sidhani kama ipo haja ya ati awepo mtu awe anafanya
haya niliyofanya mie.

Hii historia leo wapo walimu wanaisomesha kama historia nyingine zinavyosomeshwa.

1783488848488.png

''Kaka sijui kama una akiba ya picha hizi ziko Patwas Restaurant Tanga, kwenye hii nawatambua watu watano Mwalimu JK Nyerere na Bwana Sadiki Patwa kulia kwake unapoitazama picha. Kulia mwenye koti na kofia Mzee Rashid Makoko, babu yangu na wa pili yake baba yangu Rashid Mamboleo Makoko na kushoto mwenye koti na kofia Mzee Makata Mwinyimtwana wakiwa na baadhi ya Waasisia na wapigania uhuru wa Tanganyika.''
(Dessa Makoko)
 
Kijakazi,
Mtume Muhammad (SAW) amesema, ''Umma wangu umri wao ni miaka 60/70.
Mimi nina miaka 74.

Wewe unanipa miaka 10 - 15.
Hiyo mbona mingi sana?

Mimi nakula miaka ya bonus.
Niko departure lounge na tiketi yangu ni one way.

Nimeandika kila kitu nilichojifunza katika historia ya uhuru wa Tanganyika ila
vile ambavyo sikuwa na ithibati.

Nashukuru kuwa sitaondoka na kuingia mwanandani (kaburini) na elimu yangu.

Allah kanijaalia kuigawa elimu hii bila khiyana si hapa nyumbani tu bali hadi
nje ya Tanzania.

Hivi sikuviandika lakini katika mazungumzo nimepata kuwaeleza watu.

Mathalan kuna barua kati ya Mangi Mkuu Thomas Marealle na Ally Sykes
wakati wa kupigania uhuru.

Chief Marealle na Abdul Sykes walikuwa marafiki wakubwa.
Nimeeleza urafiki wao huu katika kitabu cha Sykes.

Barua hizi zina mengi ambayo Chief Marealle alikuwa anahofia yatatokea
baada ya uhuru.

Hizi barua sikuzieleza katika kitabu cha Sykes kwa sababu ingebidi ili kupata
maelezo kutoka wote waliokuwa wanatajwa na wao niwasikilize.

Hili halikuwa jambo la busara nilivyoona kwa wakati ule.
Mifano kama hii ninayo mingi.

Haya ni maisha yangu sidhani kama ipo haja ya ati awepo mtu awe anafanya
haya niliyofanya mie.

Hii historia leo wapo walimu wanaisomesha kama historia nyingine zinavyosomeshwa.

yeah lkn kama haujatayarisha mtu wa kurithi mikoba ya maktaba na historia ya muslims wako kila kitu kitaenda na wewe siku yako ikifika, na kuwanyima muslims wako fursa ya kupata uliokuwa unawapa ...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom