Hii ishu iko kisiasa zaidi, unajua hii ishu si mara kwanza kuibuka. Nakumbuka hata Kwenye AED 2016 raisi aliibua tena na alatuambia maengineer tumuulize prof kwa nini anaruhusu mchanga wa madini unasafirishwa nje, alipokuja kutoa mada tulimuuliza, akasema hatuna umeme wa kuyeyusha ule mchango...
sio kweli bhana, kwa engineer anayetoka chuo recent ni kweli kwamba haajiriki ni mpaka apate uzoefu kidogo. But after 1year or 2 years ya kuvolunteer na akaweza kupata skills za kazi huanza kuajirika. Nadhani hii ni kwa kada zote! Engineering bado ni fani nzuri tu ndugu yangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.