Tumeona makali ya TLS na Chama cha Madaktari. Je chama cha mainjinia kinaoneshaje makali yake?

Nikupateje

JF-Expert Member
Dec 22, 2009
1,334
988
Kinaitwa Institution of Engineers Tanzania na kingine huwa ninasikia Bodi ya Uhandisi.

Je, tunaweza kupata data jinsi wanavyokabiliana kama wenzao wanasheria na madaktari?

Nakumbusha hivi kwa sababu penye vyuo amvayo kuna kozi za Engineering, mainjinia ndiyo huwa kama wababe wa kudai haki zao na hata kuongoza migomo, lakini wakifika huku mtaani wnaoongoza mapambano ni vyama kama hivi vya wanasheria, madaktari, walimu nk

Unaweza kutaja na kujadili vyama vingi tu.
 
Kinaitwa Institution of Engineers Tanzania na kingine huwa ninasikia Bodi ya Uhandisi.

Je, tunaweza kupata data jinsi wanavyokabiliana kama wenzao wanasheria na madaktari?

Nakumbusha hivi kwa sababu penye vyuo amvayo kuna kozi za Engineering, mainjinia ndiyo huwa kama wababe wa kudai haki zao na hata kuongoza migomo, lakini wakifika huku mtaani wnaoongoza mapambano ni vyama kama hivi vya wanasheria, madaktari, walimu nk

Unaweza kutaja na kujadili vyama vingi tu.
Mtaani hakuna bla bla zaidi ya kudeliver. Kujenga miundo mbinu, majengo marefu, mitambo hakuhitaji maneno, pesa unaitafuta kwa kuuza ujuzi ulio nao basi.
 
Mtaani hakuna bla bla zaidi ya kudeliver. Kujenga miundo mbinu, majengo marefu, mitambo hakuhitaji maneno, pesa unaitafuta kwa kuuza ujuzi ulio nao basi.
Kua mkweli kaka, kati ya Daktari na mwana sheria then ulinganishe na engineer nani anapiga pesa ndefu mtaani!? Tusijifariji, wenzetu hao wana make money balaa kuliko sisi.
 
Engineers wengi wameajiriwa private sectors tofauti Na hao wengine wamejazana serikalini

Wanasheria walioko private sekta ni wale sita tu aliowataja mukulu. Wengi mawakili wako mitaani na wengine wako kwenye makapuni wanaitwa Legal officers.

turudi kwenye topic.
 
Kua mkweli kaka, kati ya Daktari na mwana sheria then ulinganishe na engineer nani anapiga pesa ndefu mtaani!? Tusijifariji, wenzetu hao wana make money balaa kuliko sisi.
Dah..daktari wa nini?? Mwanasheria wa nini?? Au injia wa nini??
Acha ujinga bana..Kazi yoyote ile unaweza make money balaa...Cha msingi ni kufanya kazi kwa bidii na kuwa mbunifu...:)
 
Kinaitwa Institution of Engineers Tanzania na kingine huwa ninasikia Bodi ya Uhandisi.

Je, tunaweza kupata data jinsi wanavyokabiliana kama wenzao wanasheria na madaktari?

Nakumbusha hivi kwa sababu penye vyuo amvayo kuna kozi za Engineering, mainjinia ndiyo huwa kama wababe wa kudai haki zao na hata kuongoza migomo, lakini wakifika huku mtaani wnaoongoza mapambano ni vyama kama hivi vya wanasheria, madaktari, walimu nk

Unaweza kutaja na kujadili vyama vingi tu.
uhandisi ndio fani inayogusa maisha yako ya kila siku.Muhandisi hawezi kuwa mtu wa blah blah wewe
 
Sidhani kama ERB watajitokeza hadharani kuongelea 15% ya bodi ya mikopo maana sehemu ya serikali.
Hakuna chama kinachojihusisha na mainjinia kama walivyo madaktari, walimu, wanasheria na wengine.
 
Mtaani hakuna bla bla zaidi ya kudeliver. Kujenga miundo mbinu, majengo marefu, mitambo hakuhitaji maneno, pesa unaitafuta kwa kuuza ujuzi ulio nao basi.

Umemjibu haraka sana.
Anategemea na sisi tujiingize kwenye ligi ya wajinga ??. (simaanishi hao hawajasoma)
Mheshimiwa mtu anayejitambua anapigana kimyakimya na kwausiri mkubwa.
 
Umemjibu haraka sana.
Anategemea na sisi tujiingize kwenye ligi ya wajinga ??. (simaanishi hao hawajasoma)
Mheshimiwa mtu anayejitambua anapigana kimyakimya na kwausiri mkubwa.

Wanasheria wameweza kuhakikisha wanafaidi nchi yao hakuna mwanasheria kutoka nje ya nchi anayeweza kwa wakili Tanzania bila utaratibu maalum, na kwa hakika ni kama vile hawapo.

Nyinyi mainjinia mmevamiwa na vitoto vya kichina na vingine vihindi vyeusi halafu mnasema mnapigana kimyakimya. Mnapigana kimyakimya au mnapigwa hadi mnapigika na kuishia kukumbuka ubabe wenu kule vyuoni?
 
Unapozungumzia kuvamiwa na wachinana wahindi hujanifanya nikukubakie. Kwasababu haiwezekani hao uliowataja wakatuzidi ujanja. Sababu ni kwamba
1:- Hii nchi inaishi kwa misaada na hakuna msaada usio na masharti yake.
2:- Mtu akitoa msaada lazima ampandikize mtu wake.
3:- Sisi tumekaba kwenye miradi ya wastani na maisha ya burudani yanaendelea hivyo hatuna mbwembwe ili msishtuke kua tunawamaliza.

Mpaka hapo umeelewa.
 
  • Thanks
Reactions: MC7
Unapozungumzia kuvamiwa na wachinana wahindi hujanifanya nikukubakie. Kwasababu haiwezekani hao uliowataja wakatuzidi ujanja. Sababu ni kwamba
1:- Hii nchi inaishi kwa misaada na hakuna msaada usio na masharti yake.
2:- Mtu akitoa msaada lazima ampandikize mtu wake.
3:- Sisi tumekaba kwenye miradi ya wastani na maisha ya burudani yanaendelea hivyo hatuna mbwembwe ili msishtuke kua tunawamaliza.

Mpaka hapo umeelewa.
Mtoa post Engineer sio mtu wa sport sport, sasa ivi ni muda wa kupiga kazi tu, blabla hakuna. fani nyingine bila tila lila maisha hayaendi.
 
Kwanza watu wengi walio maliza engineer hawaendi kufanya kazi za kada yao, wengi wamekimbilia kwenye kufundisha twisheni au shule, na wengine ni vibarua kwenye kampuni za wachina.....yaani hovyo hovyo hawajielewi hawa
 
ERB na IET sio watu wanaofanya Kazi kwa Mihemko na Itikadi ya Vyama, Umungu wala Dini! Usitake kuinguza Propaganda zako ERB wala IET, tunaomba utuache!
 
Kwanza watu wengi walio maliza engineer hawaendi kufanya kazi za kada yao, wengi wamekimbilia kwenye kufundisha twisheni au shule, na wengine ni vibarua kwenye kampuni za wachina.....yaani hovyo hovyo hawajielewi hawa

sio kweli bhana, kwa engineer anayetoka chuo recent ni kweli kwamba haajiriki ni mpaka apate uzoefu kidogo. But after 1year or 2 years ya kuvolunteer na akaweza kupata skills za kazi huanza kuajirika. Nadhani hii ni kwa kada zote! Engineering bado ni fani nzuri tu ndugu yangu
 
Back
Top Bottom