Prof.Leonard yupo.
ila anafundisha kilimo cha ndizi badala ya kumwaga Sera watu hawataki kulima wanataka kuambiwa wataletewa Barbara ya UMEME hahahaaaa
Makamanda wamejipanga huku asikwambie MTU.
serikali za mitaa in uthibitisho tosha .atafanya awezalo CCM atapita ila October wana CCM Ndio watamchagua Wa UKAWA
Wakuu habari za kazi,
Leo Kata ya Ipinda wilayani Kyela kuna hali tete mpaka muda huu, kuna wagombea kumi nafasi ya ubunge kupitia CCM akiwemo Mwakyembe na Jana kampeni zilianza leo ikiwa ni mwendelezo Kata ya Ipinda.
SAA 7 wakianzia Kata ya Muungano pale asubuhi ambako Mh.Mwakyembe alizomewa...
Ajari ni ajari tu,
pengine tungetafuta chanzo cha ajari hizo zote!
Maana chanzo cha ajari ya leo ni mashimo katikati ya barabara. Sasa kampuni inahusikaje?
Mgodini hasa hii midogo kuna mambo ya kihuni na ajabu sana,
japo mengi yanaishia hukohuko!
Kuuwana ni kawaida sana hata kwa makosa madogo tu panga,
kuna aja ya kuwekwa utaratib ili watu waishi PEACE, maana hakuna aman huko hata kidogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.