Wanambeya hakikisheni ccm isishinde hata jimbo moja maana ccm walivuruga bunge la katiba,walipisha miswada ya dharula kwa ubabe wao sasa nn kifanyike huko mbeya moja wanawake wote marafuku kuvaa madela ya ccm mwaka huu , pili ,kila mwana mbeya kama yupo nje ya mbeya arudi mbeya kulikomboa kila jimbo lao kupitia ukawa au chadema ili kuongeza nguvu ili ccm itoke madarakani pia kila mtu achangie lita tatu petrol au disel .pia tunaomba mwenye kujitolea gari ,pikipiki tutashukuru zaidi kufanikisha kumshinda adui yetu ccm na wabunge wao ,madiwani na Rais wao