Hizi habari ni za ulongo..uzushi na uzandiki wa hali ya juu...jamani elewen Rais wa Russia sio mtu mdogo na wala sio kazi rahisi kuipindua serikali ya Urusi haiwezekan kamwe...huu uongo unatungwa na West ili kuivuruga Urusi ni uzushi mtupu..kamanda yuko salama ila alikua na flue inamsumbua akapumzika
Kama sio rahisi mbona ilisambaratika na kuwa nchi kibao.Anyway la kupinduliwa putin sina uhakika.Ila urusi kwa mwendo inaoenda yaweza pinduliwa uchumi umeshaanza kudorora.
Hilo libwege linafikiria kila mleta mada huwa ndio source, pia nimeweka hadi na link ya chanzo. Halafu ifahamike Putin hapo alipo ni kinyango tu cha majenerali, anaweza akapigwa chini wakati wowote na bila shida yoyote.
putin anaumwa anatibiwa na mganga kutoka vietnam, ana tatizo la mgongo, muda si mrefu ataonekana hadharani