Mwakyembe hali tete jimboni

Mwakyembe hali tete jimboni

Kuna prof wa UDSM anagombea ubunge anaitwa Mwaikambo upande wa CCM, vipi upepo unavumaje kwake?

Prof.Leonard yupo.
ila anafundisha kilimo cha ndizi badala ya kumwaga Sera watu hawataki kulima wanataka kuambiwa wataletewa Barbara ya UMEME hahahaaaa
 
Mwakyembe tangu akane maandiko yake mwenyewe kuhusu muungano kwenye bunge la katiba nimemtoa kwenye kundi la watu makini, halafu ana kashfa ya mabehewa... Apigwe tu manake hamna namna ingine

hahaaa. atapigwa tu
 
Back
Top Bottom