Recent content by Lemidmckon

  1. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania DOKEZO Msaada kuhusu simu za Samsung

    Asante sanaa 🙏
  2. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania DOKEZO Msaada kuhusu simu za Samsung

    Asante mkuu 🙏
  3. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania DOKEZO Msaada kuhusu simu za Samsung

    Habari ndugu zangu? Nisaidieni kujua ni simu gani nzuri kati ya Samsung S series na Note series na vipi kati ya S10+ na Note 10+ ipi ni nzui?
  4. L

    JamiiForums Tanzania Ninahitaji kufungua duka la dawa muhimu

    Habari Naomba kujua wapi naweza kupata/kusoma kozi ya kuuza duka la dawa muhimu (addo) kwa dar es salaam, gharama za kozi na inachukua mda gani?
  5. L

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kozi ya kusoma kwa matokeo haya

    Jamani naomba msaada, mdogo wangu amepata div II-11 form six CBG ana Chem E,Bio D,Geo B. Asome course gani nzuri ambayo ni marketable?
  6. L

    JamiiForums Tanzania Mimi ni mwalimu natafuta nafasi ya kufundisha masomo ya chemistry na biology

    Habari za mda huu ndugu zangu,mimi ni mwalimumwenye shahada ya masomo ya chemistry na biology, natafuta nafasi ya kufundisha shule yoyote sehem yoyote tangu nimehitimu chuo 2018 mambo hayajawa rafiki. Nipo dar, mwenye connection au anayefaham shule yoyote yenye uhitaji huo naomba msaada...
  7. L

    JamiiForums Tanzania Nimepima nina tatizo la nguvu za kiume

    Asante Sent using Jamii Forums mobile app
  8. L

    JamiiForums Tanzania Nimepima nina tatizo la nguvu za kiume

    Kingsmann, Asante ndg lkn sijazaliwa vile nilkuwa sawa Sent using Jamii Forums mobile app
  9. L

    JamiiForums Tanzania Nimepima nina tatizo la nguvu za kiume

    Asante ndg lakini mazoezi na kawaida yangu na vyakula natumia vya kawaida sana. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. L

    JamiiForums Tanzania Nimepima nina tatizo la nguvu za kiume

    Ulaji wa vyakula na mazoez pia Sent using Jamii Forums mobile app
  11. L

    JamiiForums Tanzania Nimepima nina tatizo la nguvu za kiume

    Asante Sent using Jamii Forums mobile app
  12. L

    JamiiForums Tanzania Nimepima nina tatizo la nguvu za kiume

    Habarini za muda huu ndugu zangu Wana jf, Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 27, nina tatizo la nguvu za kiume kwa muda mrefu sasa (takriban 9-10 years) yaani uume umelegea sana sana na hauwezi kusimama kiasi kwamba siwezi kufanya chochote hata hisia za mapenzi/msisimuko haupo kabisa kipindi...
  13. L

    JamiiForums Tanzania IJUE YANGA

    Hahahaha!!! nmefrah..
  14. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Burudani ya kuangalia AFCON 2019

    Kwan vp?
  15. L

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Narudia kuwaasa tena vijana wa kiume kwa mara ya mwisho!

    Wamesikia mkuu!
Back
Top Bottom