Lemidmckon
Member
- May 14, 2019
- 15
- 16
Habari za mda huu ndugu zangu,mimi ni mwalimumwenye shahada ya masomo ya chemistry na biology, natafuta nafasi ya kufundisha shule yoyote sehem yoyote tangu nimehitimu chuo 2018 mambo hayajawa rafiki.
Nipo dar, mwenye connection au anayefaham shule yoyote yenye uhitaji huo naomba msaada tafadhali!(nina uwezo wa kufundisha O-level na advance)
Mawasiliano: 0682568835
Nipo dar, mwenye connection au anayefaham shule yoyote yenye uhitaji huo naomba msaada tafadhali!(nina uwezo wa kufundisha O-level na advance)
Mawasiliano: 0682568835