Lakini pia alikuja akiwa amejaa makamasi puani. Na sisi walimu tukamfundisha kujihudumia na usafi Kwa ujumla. Alikuwa na machacha, hakua anajua kuoga, alikuwa mshamba mwenye kuongea kilugha shuleni na mavazi yake hakuwahi kuyapiga pasi tangu siku Ile alipoyanunua Toka dukani. Leo hii ameelimika...
Maoni Yako ni mazuri na naamini umeyatoa Kwa Nia njema. Shida ni kwamba Kuna siasa itaingia hapo na baadhi ya watu itawagharimu. Wagombea wengine watakosa kura na watashindwa kula kama walivyozoea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.