Sawa Mkuu kwa kunielimisha.
Kumbe mkoloni si lazima awe Mzungu au Mwarabu.Na ukoloni kumbe unaweza kuwafanyika kwa kupitia mikataba ya kilaghai kama waliofanya wajerumani .Nimejifunza kumbe kuna baadhi ya nchi huenda bado zinatawaliwa na Waafrika wenzao,Mfano Sahara ya Magharibi huenda...
Mimi nimetafakar na kuna kwamba,kama kuna kitabu chochote kati ya hivi viwili ambacho,Mtume wake (yaani huyo aloshushiwa hicho kitabu na Mungu) amekosolewa kwa kwenda kinyume na vile alivotaka Mungu,basi hicho kitabu nitakua kimetoka kwa Mungu.
Kwavile sio rahisi Mwanadamu akajikosoa...
Inshallah kheri itapatikana,kila penye nia. Na njia huwepo karibu.Tumuombe Mungu ajaze hekma na busara kwa viongozi wetu wote wa Zanzibar.Mungu ibariki Zanzibar
Siolazima wao wanapokosea na sisi tukosee. Hata kama watafanikiwa kupindua maamuzi ya umma, isiwe kisingizio kwa Afrika kubariki ukiukwaji wa demokrasia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.