Mfanya biashara wa Arusha Je, biashara yako inakutana na changamoto katika kudeal na mambo ya TRA, usimamizi wa fedha, uhasibu, au masuala ya kodi?
Tunatoa huduma za ushauri wa kitaalamu zinazotolewa kwa biashara katika mkoa wa Arusha.
Huduma Zetu ni Pamoja na:
Kufuatilia mambo yako ya TRA...
Hapana, sisi sio kampuni.
Ni viajana tulio unganisha nguvu na ujuzi wetu wa ki-hasibu ili kuweza kufanya kazi kwa ufanisi zaidi.
Jina tunalotumia ni SEF Consulting.
Kwa sasa hatuna social media pages, unaweza kuwasiliana au ku-inquire chochote kupitia mawasiliano yafuatayo>
📞 Piga Simu...
Mfanya biashara wa Arusha Je, biashara yako inakutana na changamoto katika kudeal na mambo ya TRA, usimamizi wa fedha, uhasibu, au masuala ya kodi?
Tunatoa huduma za ushauri wa kitaalamu zinazotolewa kwa biashara katika mkoa wa Arusha.
Huduma Zetu ni Pamoja na:
Kufuatilia mambo yako ya TRA...
Huduma za Uhasibu na Ushauri wa Kodi (Kudeal na TRA) - Arusha
Mfanya biashara wa Arusha Je, biashara yako inakutana na changamoto katika kudeal na mambo ya TRA, usimamizi wa fedha, uhasibu, au masuala ya kodi?
Tunatoa huduma za ushauri wa kitaalamu zinazotolewa kwa biashara katika mkoa wa...
Huduma za Uhasibu na Ushauri wa Kodi (Kudeal na TRA) - Arusha
Mfanya biashara wa Arusha Je, biashara yako inakutana na changamoto katika kudeal na mambo ya TRA, usimamizi wa fedha, uhasibu, au masuala ya kodi?
Tunatoa huduma za ushauri wa kitaalamu zinazotolewa kwa biashara katika mkoa wa...
Mkuu mimi nina swali
Kama nimeanza biashara mwaka jana November 2022, na mwaka huu natakiwa ni file Return of income zikiwa na audited financial statements
Lkn niliambiawa siwez fanyiwa audit mpka biashara iwe na miezi sita, sasa pale kwenye kusubmit financial statements ntaweka nini
Mimi ni Accountant.
Natafuta mtu mwenye uhitaji wa usaidizi katika kazi za kuhasibu and related field. Bure kabisa, kwa ajili ya kuongeza exposure kwenye accounts, Finance, tax and related fields.
Location: Arusha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.