badilisha reference yako ya mafanikio...je mafanikio yako unayapima kwa kuangalia kitu gani..ma padri awaoi ila wanaonekana poa wakiendesha ibada..watoto wa mitaani awana pa kulala ila goal yake apate msosi kwa siku..Pia tafuta purpose ya maisha yako unawezekana sio vyote unavyotamani au...
watu wanaenda kwa mpalange itakua mboga za majani..tena zimepikwa labda tungekua tunakula mbichi..afu sisi wote ni wa mavumbi na mavumbini tutarudi na tunatembea na kinyesi..acha kuoverthink wewe
ila katika watu ambao wamepitia wakati mgumu ni pamoja na bashri...mzee aligusa nafasi nyeti za serikal ndani ya muda mfupi baada ya hapo akastaafu mapema kama makonda..kwel tubakize akiba ya maneno sponsa ufariki
Watahukumiwa kulingana na kile walichokuwa wanadhani ni sahihi kwao. Hapo zaman pia kulikua na mila na desturi kun jambo ulikua ukifanya unaonekana umekosea..so sheria zao ndo zikazokua zinahukumu. Ushawah jiuliza kama hiki tunachoamini sio sahihi itakuaje pia. Je, kama sisi ndo tunakaidi na...
Stoicism was founded around 301 BC by Zeno of Citium in Athens, Greece. It was nearly forgotten for two millennia. Fortunately various texts from the 3 principle leaders Marcus Aurelius, Epictetus, and Seneca survived and now build the bedrock of the reviving philosophy.
The philosophy is of...
kuna baadhi ya psychology articles unaweza soma i ni kwa ajili ya kujisaidia mweywe pasipo kumwona therapist..ingawa ni vzr pia kuongea na watu ili kuona auko mwnywe..kwa kuongea na watu itakufany ujiisi auko mwnywe na kuona unayoyaptia ni maisha ambayo karbia kila mwanadamu mwny ufahama anapitia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.