Mpanda nyangobe
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 709
- 1,558
Ni swali hili. Kama tujuavyo wageni weupe wameanza kuja Tanganyika kwenye karne ya nane.
Ikumbukwe hawa wageni ndio wameleta ustaarabu wa dini hizi tulizonazo sasa ambazo tunaambiwa zitatufikisha mbinguni kwa baba.
Swali: Je, ambao wameshafariki kabla ya kuja dini hizi watahesabika kama wasioamini au inakuaje?
Ikumbukwe hawa wageni ndio wameleta ustaarabu wa dini hizi tulizonazo sasa ambazo tunaambiwa zitatufikisha mbinguni kwa baba.
Swali: Je, ambao wameshafariki kabla ya kuja dini hizi watahesabika kama wasioamini au inakuaje?