Hivi wakazi wa Dar huwa hamuoni kinyaa kula mboga za majani zilizomwagiliwa maji machafu?

Mnakula sana bamia na mboga za majani maana ndio chakula kikuu. Sio kama mikoani kuna vitoeo kibao.

Lakini mboga za majani mnazokula zinalimwa mabondeni na humwagiliwa maji machafu ya kinyesi.

Mimi nikiwa zangu Igunga ni kula kuku,nyama ya ng'ombe na mbuzi. Mboga za majani zinakuwepo kama kicholombwezo.

Watu wa Dar hamuoni kinyaa kula kinyesi na uchafu?
Igunga barabara moja...
Yule Shifter Msomali bado yuko
 
Namjua au namkumbuka boss mmoja alikuwa hali mboga mbali ya anazolima mwenyewe, ila alipata shambulio la moyo na aliishaondoka.

Sijui niseme nini hasa
 
Mboga zenye afya. Sio zenye kinyesi.
Mkuu yale ni maji yaliyo pitia kwa kinyesi! yakachujwa ardhini kinyesi chini maji juu! wkt yana safiri! ila siyo kinyesi kile, km unavosema weye! hao waalimu wa upe walikudanganya sana!!

Maajabu sasa hayo hayo maji unayoona ni ''kinyesi'' ndo wataalamu wa NASA wanatumia kunywa! kuoga nk!! labda shule weye haipandi! tafuta humu usome!

hata hizo mboga zako zinapitiwa na maji ya mvua iliyo pita juu ya vinyesi vya wakulima wa vijijini huko, yakatiririkia bustanini kwako hapo!! uongo? sababu singida kule mashambani hkn vyoo! halafu wanakula sana mpaka mbuzi walio jifia!

usitudanganye mnakunya tu vichakani! hamtawadhi sababu hkn maji na hamjui kutumia maji kutawadha!! uongo! mpaka naniliu zile zimekuwa ngumuuuu!! ukiishika lazima ikwaruze.......usipokuwa makini inapinda mazima...
 
Sio kama mikoani kuna vitoeo kibao.
Maweee!! vitoweo kibao mvitoe wapi?? DSM ndo kuna kila kitoweo wewe!! kutoka kila Mkoa kutoka kila nchi Duniani! vinakuja na Meli, Ndege! Train! Malori ndo usiseme, Mabasi hiviiii!! sasa kwani uongo??

sema unawaonea donge tu!! shavu dodo ngozi lainiii!! Dra hoyeeeeee!!! yaani kula huo mchicha sijui bamia kwa mtu wa Dar ni ziada sana! Mahotel makubwaa five stars yako Bongo! watakula nini hao wateja kwani?? haya hiyo michicha yenu mnauzia Dsm!

hata hao kuku wako wa singida soko liko Dar! mbuzi, kondoo, ngombe hutauza huko mkoani bali Dar! ndo utapata bei nzuri, mna kuku, mbuzi. ng'ombe lkn hamli nyie tuna kula watu wa DSM, kila siku ni sherehe Bongo!

wewe ndo hujui tu ukila mchicha wa nyuma ya choo tu singida inakuwa km Dar!!
 
Mnakula sana bamia na mboga za majani maana ndio chakula kikuu. Sio kama mikoani kuna vitoeo kibao.

Lakini mboga za majani mnazokula zinalimwa mabondeni na humwagiliwa maji machafu ya kinyesi.

Mimi nikiwa zangu Igunga ni kula kuku,nyama ya ng'ombe na mbuzi. Mboga za majani zinakuwepo kama kicholombwezo.

Watu wa Dar hamuoni kinyaa kula kinyesi na uchafu?
Kinyesi chako chenyewe mbolea

Vp unaweza tupatia kwa ajili ya matumizi

Ova
 
Kinyesi ni mbolea
Nchi nyingi zinatumia mbolea ya binadamu kwenye kilimo...

Wewe upeo mdogo
Kiufupi kinyesi hakina shida kabisa kwani hubadilishwa na kuwa kirutubisho kwa mmea, tatizo kubwa ni chemical na ambazo zinatumaliza huku mikoani. Unakuta mtu anapiga dawa ya kuogeshea ng'ombe kwenye kabeji yaani mdudu hagusi, alafu ndo sisi raia tunakula.
 
watu wanaenda kwa mpalange itakua mboga za majani..tena zimepikwa labda tungekua tunakula mbichi..afu sisi wote ni wa mavumbi na mavumbini tutarudi na tunatembea na kinyesi..acha kuoverthink wewe
 
Kinyesi kisicho na maambukizi hakina tatzo. Nimeshuhudia mwanamke akila mavi yake akishusha na mtone ya shahawa sikuamini macho lakn hadi kesho yupo na mwingne alilambu puru na kutafuna karanga alizokuta, alisema eti tam!
 
Kwa tunaoijua Dar toka kitambo tunakumbuka shamba la mchicha pale Victoria.

Ila tunaishi tu kwa kudra za Mwenyezi Mungu. Tunaishi katika mazingira hatarishi sana.
 
mboga Bora duniani na inayokibalika mwanalumumba ni nyama nyeupe ,mboga zamajani na maharage tafiti kisayansi

Unalalamika mboga zawezako kumwagiliwa na majitajwa kwani hawana maji ya kuoshea kua na adabu wewe

Mnakula manyama yambuzi ,ng'ombe harafu ukifika miaka 40 unaaza kutusumbua kutugongea milango eti nakuja Nina clinic muhimbili na Dr hhh...falani wafarabushing mkubwa wewe
 
Kinyesi Cha wanyama ni mbolea,kuchunguza kuwa mboga unazokula mezani zimepita wapi ni kazi.wenzetu ulaya wanatumia vipimo kuangalia tu kemikali.mbolea ya asili hawana shida nayo.
Bongo
-Samaki wengine wanapasuliwa wanakutwa na kinyesi
-kuku ametoka kumeza chura na wewe wamchinja
-kitimoto katoka kunenepeshwa kwa ARV na wewe wamla
-ngombe anadozi ya sindano na wewe unauziwa maziwa yaliokamuliwa
-Samaki wamehifadhiwa kwa dawa ya kuhifadhia maiti na wewe unakula.
-ulaya nchi nyingi zinaweka lebo kutofautisha vyakula vya viini tete na visivyokuwa navyo.Bongo tunakula tu.

Kwa hio hapa ni mifumo ya udhibiti wa chakula salama ndio huwa unafanya kazi hizo.la sivyo huwezi sema dar tu ndo wanakula taka.

-Hayo yote tulishasikia magazetini....ukweli.
-Cha muhimu kula vyakula vya kutoa sumu mazoezi,maji,mazoezi
 
Waswahili walivyo wavivu. Mtu anashindwa hata kukwetuakwetua tunyasi pembeni ya nyumba yake, sembuse eti kupanda mchicha?
Huo mchicha ukipanda home uswahilini ndio sasa kila mpita njia atakojolea.kwa hio tukubali tu kinyesi mkojo vyote mbolea.tuoshe vizuri tu tule.
 
Back
Top Bottom