ACP Msangi akiwa mkuu wa USA alisimamia zoezi la kuondoa uhai watuhumiwa wanne wa ujambazi waliokamatwa na polisi wakiwa hai ikamlazimisha RPC Ntobi kuhamishiwa mkoa wa Mara.
Siku hizi ni rahisi kutetea dhambi kwa mgongo wa CCM ?.
Kama si viongozi wa CDM tuambie ni viongozi wa chama gani na walikuwa karibu na kiongozi gani CDM.
Gervas Mgonja alikuwa katibu wa Godbless Lema hadi June mwaka huu issues za ujambazi zipoanza kuibuka Lema akamtosa kiujanja barua ya kumtosa akaipeleka RPC na OCD.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.