Recent content by lebadudumizi

  1. L

    ACP Hemed Msangi...

    ACP Msangi akiwa mkuu wa USA alisimamia zoezi la kuondoa uhai watuhumiwa wanne wa ujambazi waliokamatwa na polisi wakiwa hai ikamlazimisha RPC Ntobi kuhamishiwa mkoa wa Mara.
  2. L

    MARIO BALO-GOALS..... WAZUNGU WATAIKUBALI TU BLACK...!! proudly african

    Alikuwa akimkoromea kocha kwa kumweka bench.
  3. L

    Russia wapeleka meli ya kivita Syria

    Syria haina lolote ingekuwa threat milima ya Golan ingekaliwa na Israel ?.
  4. L

    Kuwepo na minimum qualification wabunge

    Naunga mkono hoja wabunge kama Lusinde,Maji marefu,Godbless Lema ni hasara kubwa mjengoni.
  5. L

    The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

    Mafundisho ya maIslam yanafurahia kuuwa kama mwanzilishi.
  6. L

    The rise and fall of Colonel Muamar Gadaffi

    Kinachowarudisha nyuma waarabu ni imani dhaifu.
  7. L

    Vigogo Chadema kizimbani

    Ngongo+Technician+Rejeo=Lebadudumizi haaaa aaaaaaa.Kumbe mkishikwa pabaya mnakimbilia utetezi dhaifu jibuni hoja kwanini viongozi wenu wanatuhumiwa ujambazi ?.
  8. L

    Electrical engineer trainee

    Jiajiri mwenyewe.
  9. L

    Vigogo Chadema kizimbani

    Mshauri ulinzi na usalama wa mbunge wa Arusha mjini.
  10. L

    Vigogo Chadema kizimbani

    Vigogo wana alama gani ?.
  11. L

    Vigogo Chadema kizimbani

    Magwanda wameshikwa pabaya hawana pa kukimbilia.Ngoja niwaandalie juisi ya pilipili.
  12. L

    Vigogo Chadema kizimbani

    Siku hizi ni rahisi kutetea dhambi kwa mgongo wa CCM ?. Kama si viongozi wa CDM tuambie ni viongozi wa chama gani na walikuwa karibu na kiongozi gani CDM.
  13. L

    Vigogo Chadema kizimbani

    Gervas Mgonja alikuwa katibu wa Godbless Lema hadi June mwaka huu issues za ujambazi zipoanza kuibuka Lema akamtosa kiujanja barua ya kumtosa akaipeleka RPC na OCD.
  14. L

    Vigogo Chadema kizimbani

    Ngongo aliwatuma !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!.
  15. L

    Hapa wanaadhimisha miaka 95, kule polisi anampiga mtuhumiwa risasi kiunoni kwa makosa!

    Hongera jeshi la polisi kazi nzuri mtuhumiwa angefanikiwa kutoroka angetusumbua mitaani afadhali katangulia.
Back
Top Bottom