Russia wapeleka meli ya kivita Syria

ninahisi Rusia,china na waarabu watakua wing moja dhidi ya marekani,ulaya na israel.Sasa Africa sub saharan itaegemea wapi?

nchi za kiafrika zitaponzwa na unafiki wao ule ule walioutumia wa kutofungamana kokote iliyowafanya waunde NAM ndo watakapoona mziki wa marekani na Nato tumuombe Mungu jamani ila havitachukua muda mrefu kama Yesu alivyosema kwamba siku zisingefupishwa hakuna mwanadamu ambaye angesalia maana biological weapons na nyuklia ndo zitatumika
 
mbona hata wasomali hawakuwaogopa wamerikani ! Uliza habari za farah aideed !
Kwani wasomali walishatishiwa kuangamizwa?

we mtu akishakuambia kuwa anataka akufute kwenye uso wa dunia, utangojea mpaka ajaribu...?
 
ISRAEL isingekuwa vile kama sio kiburi wanachopewa na USA ,kwamba superpower Countries zikiwa Russia na China watu watauliwa sio kweli usijidanganye,USA haikuwekwa na mungu kuitawala dunia ni njaa za watawala wetu(third world) kuendekeza dhiki zinazosababisha tutawaliwe na fikra zetu pia zinachangia kwa kufikiri sie hatuwezi mpaka hata choo cha shule mpaka tujengewe na wazungu.Na kweli njaa hizi zitztu CAMERUN
 
Msiwaamini wa Russia sana, wao ni masilahi mbele wazungu wako tayari kufanya kazi na shetani kama wanahakikishiwa masilahi yao. Ni na wasiwasi wazungu ama wananchi wengi weupe walioko Israel ni Warusi na wananchi wa ussr ya zamani.

Wanaofuatia kwa wingi ni waarabu, harafu wanaofuatia ni waethiopia na wasudani wanaojiita wayahudi wa Ethiopia. Sasa sijui kama mrusi anaweza mthibiti ndugu yake. Mkiwategemea warusi kwisha kazi. Ni maoni tu.
 
Nenda kakojoe ukalale wewe !


Mimi huwa siwaelewi hawa wakina Ally! Hivi huwa wanapata muda wa ku Think japo dk 3, maana kama wangepata wangejua mitume woooooooote wanao waita wa mwenyezi mungu wao ni waislael kasoro mmoja aliepewa quran. Sasa ila mpaka ufundishwe darasani au madrasa mpaka mfalme wao Daud wa waislael mwamwita mtume lkn waislael mwawachukia kwa nini ? Ukiwa muongo usiwe msahaulifu kama una akili kiduchu utanielewa japo kidogo.
 
Nenda kakojoe ukalale wewe !

Tunapojaribu kuangalia mambo ya aina hii, ushabiki tunauweka pembeni. Historia inatufundisha kuwa kuna wakati upepo unaweza vuma tofauti na matarajio yetu. Tutauana na presha
 
Taifa teule lililoteuliwa uchagani. Hahahahaha na log off.

Wewe kasome quran tena utagundua kuwa ni taifa teule, watume wooote kwenye quran yenu ni watu gani kama sio waisrael ? Na hili nalo mpaka ufundishwe! Au nikutajie majina Daud, Suleiman, Musa, Isackah, eliyah nk na nk wooote hawa ni mitume akiwemo na mfalme wa waisrael jina ni Daud naye pia ni mtume leo hii mnajipiga upofu mksema mayaudi sijui nnn nn at the same time mnawaita mitume, loh!
 
Genesis 32:24-28 KJV

And Jacob was left alone; and there wrestled a man with him until the breaking of the day. And when he saw that he prevailed not against him, he touched the hollow of his thigh; and the hollow of Jacob's thigh was out of joint, as he wrestled with him. And he said, Let me go, for the day breaketh. And he said, I will not let thee go, except thou bless me. And he said unto him, What is thy name? And he said, Jacob. And he said, Thy name shall be called no more Jacob, but Israel: for as a prince hast thou power with God and with men, and hast prevailed.
 
Kwa hali ninavyoiona siku si nyingi tutaona mambo ambayo hatutaweza kuamini maana kila nchi kubwa kiuchumi haiko tayari kuona nchi wanazotegemea kupata faida zinapata matatizo hivyo wako tayari kufanya lolote liwezekanalo walinde maslahi yao kama walivyofanya Russia.
 
na quran hiyo hiyo ilioandika kwamba israel ni taifa lilolaaniwa.coz wamepelekewa mitume kuwaongoza katika njia ya kwel wao wakaishia kuwaua.
 
Hatimaye urusi wamepeleka meli ya kivita syria kuzuia shambulio lolote litakalo fanywa dhidi ya syria. source:press tv

Russia ina kituo chake cha kijeshi kwenye bahari ya Mediterranean ambapo Syria ina bandari iitwayo Tartous. Halafu Russia na China zinafanya biashara kwenye maeneo ya nishati kama mafuta.

Hii yote ni ufadhili mwingine unaopangwa kufanywa na nchi za NATO kwa kuwapa misaada wapinzani wa serikali ya rais Asaad ili waanzishe vurugu ambazo zitasababisha nchi hizo kuingia nchini humo na hatimae kumuondoa kiongozi huyo na kuwaweka wale ambao watasikiliza wanachoambiwa.

Lengo kuu ya mpango huu ni kuimaliza nguvu nchi ya Iran ambayo ni rafiki mkubwa wa Syria kwa kuimarisha vituo vya kijeshi katika eneo hilo na kwa kuzingatia kwamba Libya na Iraq tayari zimekwisha kushughulikiwa, France tayari wanazungumza na Turkey ili kuweka "no fly zone" ambapo NATO itaweza kutumia vituo vyake vya jeshi la anga kuishambulia Syria kama ilivyofanyika kule Libya.
 
taifa teuli wanashindwa na hezbulah kikundi cha watu hawazidi elfu kumi.rejea second lebanon war
 
The move represent a clear message to the West that Moscow would resist any foreign intervention in the country's civil unrest
images
images

images
9k=


arton171924-a02f7.gif

TAYARI MELI ZA KIVITA/MANOWARI ZIMESHAINGIA KATIKA TERRITORY YA SYRIA KWA AJILI YA KUILINDA DHIDI YA NATO.

SOURCE: http://counterinformation.wordpress...s-enter-syrian-waters-to-prevent-nato-attack/
 
[h=2]NATO: Medvedev remarks meaningless and outdated[/h]

fba1ae8fe987812c11250564ffb8a485_L.jpg

NATO Secretary General Fogh Rasmussen expressed concern over Russia's direct threat against the establishment of NATO's missile pad near in Europe, close to its borders.
According to IRNA, Rasmussen condemned Russia for spending billions on a new missile system that he described as "a waste of money".
Fogh Rasmussen made a strongly worded attack on current Russian arms policy as NATO attempts to bring it into the new missile defense shield.
Speaking the Royal United Services Institute in London, he criticized that Moscow's thinking was "out-dated" as Moscow begins to develop new inter-continental ballistic missiles.
He termed Russian President Dmitry Medvedev's remarks as meaningless regarding Moscow's new offensive system to target the West.
The NATO secretary general said "This type of rhetoric is unnecessary and this type of thinking is out of date."
The US-built ballistic missile defense system caused considerable frictions with Russia during George W Bush's presidency as he wanted some of the system in Eastern Europe.
Fogh Rasmussen invited Russia for cooperation in missile shield.
Russian President Dmitry Medvedev said Wednesday that Russia would deploy new missiles aimed at US missile defense sites in Europe if Washington goes ahead with a planned shield despite Russia's concerns.
Russia considers the plans for missile shields in Europe, including in Romania and Poland, to be a threat to its nuclear forces, but the Obama administration insists they are meant to fend off what they claimed as 'potential' threat from other countries.

SOURCE: NATO: Medvedev remarks meaningless and outdated
 
Back
Top Bottom