Hayo maelezo hayatoshi kuthibitisha athari ya unywaji wa soda.
Viwango vya kemikali vilivyopo kwenye soda vimewekwa kwa viwango vinavyokubalika kimataifa. Sidhani kama viwango hivyo vinaweza kuruhusiwa ilihali vinaleta madhara kwa afya ya binadamu.
Wangeshauri mtu anaruhusiwa kunywa kiasi gani...
unashangaa nini sasa? hilo sio jambo la ajabu.
shule zipo nyingi sana. kuna vijiji vinashule za msingi tatu. Kijiji nilichosoma zilikuwepo shule za msingi nne. Hapo mwika penyewe si chini ya shule tano ambazo zipo eneo hilo.
pia wazazi walio wengi wanapeleka watoto shule za binafsi kutafuta...
Hayo mnayojadili sio kweli na sidhani kama mnaijua huduma ya efatha. Ni ujinga na kukosa hekima unapomshuhudia mtu uongo kwa mihemko na kwa kuwa tu umeweza kuongea.
Mwenye kuielewa vizuri efatha ni wale waliopo ndani ya hiyo huduma au waliowahi kupata neema ya kuhudumiwa katika huduma.
Acha kudanganya watu na kujifariji.
Lugha ni muhimu ili uweze ku-share ujuzi ulionao kwa ulimwengu. Kiingereza ndiyo lugha ambayo ambayo inaunganisha asilimia kubwa ya watu duniani.
Ni muhimu kuijua lugha ya kiingereza walau basic.
Naomba tu nikupe pole kubwa kama unadhani kuna mchaga amekimbia biashara. Kufunga duka na kuacha biashara ni vitu viwili tofauti kabisa.
Chunguza vizuri huyo aliyefunga duka kwa sasa anafanya biashara gani.
Hapo ndio utajua akili ya mchaga ilivyo kubwa na miles kadhaa mbele.
Endelea kujifariji...
Pole sana. Mke mwema anatoka kwa Mungu. Ampatae mke apata kitu chema.
Kama uliyempata ni kimbunga inamaana huyo sio wa kwako na huenda ulimpata pasipo kumwomba Mungu akupe.
Mpelekee huu uzi asome anaweza kubadilika na ukampenda, kama unaye mke na sio girlfriend
Sasa wewe...inakuwaje unawaita kuwa ni walokole ilihali umeshuhudia wakifanya yasyostahili kufanywa na Walokole?
Aliyeokoka na kumaanisha huwezi kumkuta kwenye tabia hizo. Hao sio walokole kama unachosema unaushahidi nacho.
Kuokoka ni maisha mapya ndani ya Kristo Yesu, na ni pamoja na kuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.