Nimkimbilie nani
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 6,207
- 6,555
Huu mwaka wa 20 bado nanywa soda na sioni chochote
Mkuu piga bilauri achana na polojo kazariwa kaikuta soda ipoAisee, vipi tonic ile tunayochanganyia konyagi/kvant nayo ni shida?![]()
Ni maswali mazuri sana mkuu.Tatizo la Watanzania tulio wengi ni kujifanya wajuaji.Hivi mtu afanye propaganda katika mambo kama haya ili apate faida gani hasa.Hivi watu hawaoni hii escalation ya magonjwa yasiyo na tiba na yasiyoambukiza.Wanadhani yanaletwa na nini hasa.Huruma sana.As long as watu wanaendelea kuwa vichwa ngumu,maangamizi yataendelea kuwa makubwa sana.Mfumo wake wa maisha ilikuwaje? Je alikuwa anafanya kazi gani huyo babu yako?
Mkuu utafiti umefanywa na wataalam waliobobea katika swala hili na ni kweli.Acha kunywa soda ni hatari kwa afya yako.Hakuna swala la kuharibu biashara za watu hapo.Hivi ninyi mnadhani huku kuongezeka kwa magonjwa kama cancer,figo,ini nk.kunatokana na nini?Tustuke jamani.dah! Mimi nahisi nimeshakuwa addicted kabisa na soda. Ntajitahidi kupunguza matumizi ya soda.
vipi na hizi juice za kila namna siku hizi? Nazo hazina madhara?
lakini huu utafiti haupo kiuchochezi na kuharibu soko la vinywaji hvyo? Kwanini msilete na source za hizo tafiti zilizotajwa? Nadhani itapendeza kama mwisho wa makala hii ukaambatanisha na tafiti husika ili watu tujisomee.
source please!
Mawazo backward na ya kijinga sana haya! A Tanzanian at his best.kwan usipokunywa hiyo soda ndio utakuwa umeepuka kifo?
Yaani tunadanganyika sana.Umeambiwa soda haina kitu nutritionally,why don't you just forget about it after all.Jamani hiyo inayoitwa soda isiyo na sukari ni udanganyifu tu,that has the same detrimental effect as soda with sugar.Hawa wanachocheza nacho ni chemicals zinazotumiwa kutengeneza the so called soda,lakini effects remain the same.Kumbuka the ultimate aim ni kufisha or global depopulation.Kunyweni coke zero,..hii ina 0-suger,0-fat,0-calory,..hii soda haina sukar hata chembe ,ina compound unaitwa aspartame,hyo ina ladha ya sukar ila yenyew si sukar..
Baba angu ana kisukar,akinywaga soda za kawaida hua ni shida,..ila,akinywa coke zero hua anakua kawaida tuu,na hapo ndipo nilipo confirm kua coke zero haina suger...so hunambii kitu hapa,labda madhara yawe ya hyo acid na zile rangi ma hyo coke ila kwenye suger kwakwel hainaYaani tunadanganyika sana.Umeambiwa soda haina kitu nutritionally,why don't you just forget about it after all.Jamani hiyo inayoitwa soda isiyo na sukari ni udanganyifu tu,that has the same detrimental effect as soda with sugar.Hawa wanachocheza nacho ni chemicals zinazotumiwa kutengeneza the so called soda,lakini effects remain the same.Kumbuka the ultimate aim ni kufisha or global depopulation.
Mawazo haya sio ya busara kabisa mkuu.The guys are more intelligent than you think.Watafanikiwaje katika malengo yao kama watu watakufa ghafla na hivyo watu kustuka?So,they kill slowly, ili watu wasistuke.Kwa hiyo wewe ndani mwako inawezekana mambo yanajikoki,utastukia una cancer nk.Sikuombei hili,ila kama huachi kunywa soda,that is a possibility.Huu mwaka wa 20 bado nanywa soda na sioni chochote
Kati ya soda na kitimoto kipi kina madhara zaidi ? Nyanya zilizopuliziwa madawa makali je ? Mafuta ya korie yale ya chura nayo utasemaje ? Moshi wa magari na viwandani ? Hzo chipsi na bager na kuku broiler utasemaje ? Anyway kila mtu afate anachoona ni sahihi...but Pepsi ya bardi iache hivyo hivyo

Nilisema wanacheza na chemicals zilizoko ndani ya soda,ila they make sure ultimate effect ni ile ile.Zipo substitutes nyingi za "aspartame" ambayo ndiyo chemical/sumu inayotumika kuleta utamu kwenye soda.Chemicals hizo zinaleta cancer na kisukari pia.Mkuu dawa ni kuacha madudu hayo,mbona sio chakula?Mshauri mzazi wako aachane nayo,anajidanganya kwamba hayana madhara.Baba angu ana kisukar,akinywaga soda za kawaida hua ni shida,..ila,akinywa coke zero hua anakua kawaida tuu,na hapo ndipo nilipo confirm kua coke zero haina suger...so hunambii kitu hapa,labda madhara yawe ya hyo acid na zile rangi ma hyo coke ila kwenye suger kwakwel haina
Katika hivyo hakuna chenye madhara mkuu,ila wine usinywe mpaka ukalewa.Kama ulivyosema kunywa glasi moja tu.![]()
![]()
![]()
![]()
Kuanzia leo Naacha kunywa soda haki ya nani..... nilikuwa na mkakati wa kuacha kutumia ila mara moja moja nilikuwa natumia, kwa thread hii Soda kwangu mwiko.... hapo nyuma nilikuwa nakunywa soda kati ya 3-4 kwa siku. nikapunguza hadi kufikia moja...ila sasa NAACHA KABISA.
Kuanzia Leo Naanza kutumia;
1.Maji kwa wingi
2.Maziwa fresh
3.Juisi za matunda asili nitakayotengeneza
4.Wine kidogo usiku baada ya kula, kabla ya kulala..
KAMA KIMOJA KATI YA HIVI KINA MADHARA PIA NIAMBIENI NIKIACHE !!![]()
Ni kwel unayosema wala siping,..najipa moyo tuu kwakua napenda soda...cha maana ni kuacha tuNilisema wanacheza na chemicals zilizoko ndani ya soda,ila they make sure ultimate effect ni ile ile.Zipo substitutes nyingi za "aspartame" ambayo ndiyo chemical/sumu inayotumika kuleta utamu kwenye soda,na ambazo zinaleta cancer na kisukari pia.Mkuu dawa ni kuacha madudu hayo,mbona sio chakula?Mshauri mzazi wako aachane nayo,anajidanganya kwamba hayana madhara.
Basi,Kisukari,Cancer,Herpatitis B,High Blood,Low Blood Pressure,Kidney Diseases etc.viheshimiwe na wewe na watu wengine wote.Pepsi ya bardi na iheshimiwe na watu wote
Haya mawazo ni pungufu sana mkuu.Kumbuka kwamba kitunguu ni kiumbe hai,kwa hiyo kina uwezo wa ku-break down sumu,kama na wewe kiasi fulani ulivyo na uwezo huo, kama huja overload ini lako kwa masumu!Come back to your senses mkuu,acha kutetea vitu visivyofaa.Na hata kama vitunguu visingekuwa na uwezo wa ku-break down poisons,si busara kupunguza the amount óf poisons going into your body, ili ulipunguzie ini mzigo?tunalima vitunguu, mkuu vitunguu vinakula sumu asikuambie mtu tena sumu kali sana, mfano diclovos lavae ukivuta kwa wingi lazima ulale mbele, sasa iwe sprite bariiiidi iwe shida??
Kama unakula kitimoto na unaponda soda....hamna kitu unachokifanyaBasi,Kisukari,Cancer,Herpatitis B,High Blood,Low Blood Pressure,Kidney Diseases etc.viheshimiwe na wewe na watu wengine wote.