Habari!
Naomba ushauri juu ya aina ya tiles, zakuweka kwenye nyumba ya kuishi familia! Aina za tiles za kuweka sebuleni,dining ,vyumbani,jikoni na barazani.Budget ni ya mtanzania wa kawaida kabisa.
Asanteni
Life is unpredictable we have to live with dreams and expectations.... Kila mtu na jinsi Mungu alivyo mpangia ...kuna couple moja naijua wameoana wote above 40 good thing ni kwamba mwanamke hakuwahi kuzaa she looks young and beautiful cha msingi ni kukubaliana na hali uliyokuwa nayo....mwanaume...
Pigs mswaki asubuhi na kabla ya kulala jitahidi kupiga mswaki kila baada ya kumaliza kula ..Kama unahisi Una mabaki kwenye meno toa kwa kutumia stick na Mara moja moja chukua Uzi upitishe katikati ya meno itakusaidia kuondoa uchafu katikati ya meno ...kwa kuanzia nena hospital kamuone dk wa meno..
Yeye anasema hivyo na Bado yupo na mkewe na ukute ndio Starehe yake akiona wamegombana wakukumbukana penzi linanogaje wewe Fanya yako kila mtu Ana maisha yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.