1.Unaota unasafiri lakini haufiki!!!
2.Kwa nini wachawi Wana Roho ngumu kufa(hawafi mapema?)
3.Unatembea njiani unahisi kama vile kuna mtu anatembea nyuma yako ila ukigeukaa humwoni?
Kwa utafiti ulioufanya sijui kama ulipata majibu sahihi, maana wachaga nao Wana akili mno!!! Na hata kama hajasoma Wana akili ya utafutaji tofauti na wapare ni wazito kujiahughulisha!!!
Mmmmmmmh!!! Wakati mwingine unaweza kufanya ishara fulani pasipo kujua maana yake halisi, sasa sijui kama muhusika anaelewa maana yake au ni pozi la kwenye picha!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.