Ama kweli wakati ukuta, zama hupita kisha huwa kama njozi.Hizi story zinanikumbusha sana mama yetu Deborah Mwenda na Sarah Dumba enzi za Mama na mwana
Mkuu weka hizo formula ili uthibitishe hadithi yako.Ninasikitika sana watu wengi wanashindwa kunielewa kama nilivyokuwa na wasiwasi miaka yote hii. Yaani ninatamani niwafundishe hizo formula hapahapa kwenye jukwaa mkajaribu kuzitumia.
Nilikuwa naandaa formula hapa ili niweze kuwawekea. Mkaweze kuzijaribu. Maana hizi zinahitaji bidii.
Ni zoezi la wiki moja mpaka mwezi unakuwa unaweza kufanya Body Differentiation. Hiyo formula inakufanya uweze kwenda kwenye sehemu kwa kasi kubwa na baada ya hapo nakufundisha Body Integration.
Hizi hapa ni formula basics za kwanza.
Ndio mkuu nawawekea hapa ninaanza na moja rahisi wewe kaa mkao wa kula. Nataka kuwafungueni.Mkuu weka hizo formula ili uthibitishe hadithi yako.
Uchawi unabisha hodi tayari😆😆😆, ww walikuchukua wakakurithisha uchawi ndugu yangu🤣🤣🤣, kama ulikuwa hujui wewe tayari n mchawi, tukienda kwa mganga saiz kuagua tutakukamata wewe😆😆Ninasikitika sana watu wengi wanashindwa kunielewa kama nilivyokuwa na wasiwasi miaka yote hii. Yaani ninatamani niwafundishe hizo formula hapahapa kwenye jukwaa mkajaribu kuzitumia.
Nilikuwa naandaa formula hapa ili niweze kuwawekea. Mkaweze kuzijaribu. Maana hizi zinahitaji bidii.
Ni zoezi la wiki moja mpaka mwezi unakuwa unaweza kufanya Body Differentiation. Hiyo formula inakufanya uweze kwenda kwenye sehemu kwa kasi kubwa na baada ya hapo nakufundisha Body Integration.
Hizi hapa ni formula basics za kwanza.
Nasubiri..Ndio mkuu nawawekea hapa ninaanza na moja rahisi wewe kaa mkao wa kula. Nataka kuwafungueni.
Sawa mkuu.Nasubiri..
Naanza sasa Virus to Body Integration and Differentiation
Kabla ya kuanza kuelezea formula hii nataka nianze kutoa utangukiza kwanza:-
1. Virus ni viumbe wadogo sana huweze ukawaona kwa macho ya damu na nyama. Virus wamebeba taarifa ndani yao ambayo ni DNA au RNA. Hii elimu ni muhimu sana.
2. Tunatakiwa tujue concept ya Stem Cells kwamba ni Cell ambazo zinaweza kuzalisha cell zingine na zikapata Identification yake.
3. Tunatakiwa kujua Concept ya Body Integration
4. Tunatakiwa kujua Concept ya Bodt Differentiation
5. Inter Universe Travel by Body Identity.
Katika formula hii ya kwanza kutakuwa na mambo hayo matano muhimu tunatakiwa kuyaelewa.
Kwenye hatua ya 5 nitaeleze namna ya kusafiri kwenda sehemu moja.
Kwanza naanza kwa kuwapatia concept hizo.
Ndio naanza sasa ili kuweka uelewa kwa pamoja baadaye sasa nitatoa formula ya Inter Universe Travel.Hii c n bios ya form 5🤫
Tulia tupewe madude..Hii c n bios ya form 5🤫
Nmekulu dawuni mkuu🙏Tulia tupewe madude..
Nipm pleaseWe ziweke halafu kuamini na kutoamini tuachie sisi, mara kadhaa nimewaambia watu hawa walioitwa magenious hazikuwa nguvu zao bali walikuwa wakifunuliwa mambo katika ulimwengu wa roho, ila kwa kujikweza au pengine masharti hawakuexpose vyanzo vyao.At least sasa leo tuna mahali pa kuanzia kuliamini hili.