Sisi wapare tuna akili za darasani kuliko wachaga

Ukitoka hapo sijui kama ni Gonja Hedaru au Same ita utakavyoita ukavuka border ng’ambo ya pili hapo huku ukiwa na lako jambo lazima uangaliwe between the lines kama hivi!!!
Screenshot_2020-09-15-14-59-54-570_com.facebook.katana.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimefanya utafiti wangu nimegundua sisi wapare (vaathu) tunaakili Sana za darasani kuliko wachaga. Katika historia yangu ya elimu sijawahi kupitwa na mchaga kamwe.

Pia sisi wapare ni Kati ya makabila top 3 waliosoma Sana Tanzania wengine ni wahaya na wanyakyusa. Pia inasemekana asili yetu ni Israeli kutokea kwa mafalasha wa Ethiopia.

Itoshe kusema sisi ni Jews ancestry ndio maana kwa akili na uchapakazi wetu hayati mwl Julius Kambarage Nyerere alituita wapare ni wachina wa Tanzania.

Vumwe vwa Vaathu.
sawa
 
Nimefanya utafiti wangu nimegundua sisi wapare (vaathu) tunaakili Sana za darasani kuliko wachaga. Katika historia yangu ya elimu sijawahi kupitwa na mchaga kamwe.

Pia sisi wapare ni Kati ya makabila top 3 waliosoma Sana Tanzania wengine ni wahaya na wanyakyusa. Pia inasemekana asili yetu ni Israeli kutokea kwa mafalasha wa Ethiopia.

Itoshe kusema sisi ni Jews ancestry ndio maana kwa akili na uchapakazi wetu hayati mwl Julius Kambarage Nyerere alituita wapare ni wachina wa Tanzania.

Vumwe vwa Vaathu.
Hata Sisi waluhya wa Kenya ni wa uzao waYakobo maana wa Isaaka🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wakaskazini mmezidi ukabila. Walianza wachaga kwa kujisifu, kujiona bora zaidi na kuwabagua makabila mengine na nyie wapare mliwasapoti kwa kuwa ni wakaskazini wenzenu. Sasa leo na nyie wakaskazini mnaanza kubaguana wenyewe kwa wenyewe tena. Yetu macho na masikio
huu ni utani kati ya watani wa jadi wapare vs wachaga. pia wapare siyo watu wa kaskazini bali watu wa mashariki.
 
Sio
Sio kweli unaowasema ni wambugu labda wapare wametokea Kenya

wapare asili yao ni wataita na wakamba ndiyo maana utakuta majina kama kilonzo, na mangare, wako kenya na tanzania. pia wapare ni mchanganyiko na makabila kama wazigua, wasambaa, na wachaga.

mwana wa mkiva, ethibanda.

na ya nyuma iravusha teri.

kurongora kwa fua, ethiko kumanya vingi.

muitango tuedawa, chedawa ni mburi.
 
wapare asili yao ni wataita na wakamba ndiyo maana utakuta majina kama kilonzo, na mangare, wako kenya na tanzania. pia wapare ni mchanganyiko na makabila kama wazigua, wasambaa, na wachaga.

mwana wa mkiva, ethibanda.

na ya nyuma iravusha teri.

kurongora kwa fua, ethiko kumanya vingi.

muitango tuedawa, chedawa ni mburi.
Mretonga teng'ola Masha mweteni.
 
Mretonga teng'ola Masha mweteni.

Yeho mweteni, teiirwa nywa.

Tagha kibudo, utane na shindaki.

Kiruke cha ibwe, ekimanyije ni igonda.

Muabera havo ni mzoro.

 
haya ehh malizia weekend yako ya mwisho urudi shuleeeee mpare mwenye akili mingi sana!
 
Nimefanya utafiti wangu nimegundua sisi wapare (vaathu) tunaakili Sana za darasani kuliko wachaga. Katika historia yangu ya elimu sijawahi kupitwa na mchaga kamwe.

Pia sisi wapare ni Kati ya makabila top 3 waliosoma Sana Tanzania wengine ni wahaya na wanyakyusa. Pia inasemekana asili yetu ni Israeli kutokea kwa mafalasha wa Ethiopia.

Itoshe kusema sisi ni Jews ancestry ndio maana kwa akili na uchapakazi wetu hayati mwl Julius Kambarage Nyerere alituita wapare ni wachina wa Tanzania.

Vumwe vwa Vaathu.
kusoma sana ni uoga wa maisha. Pamoja na kusoma kote huko wapare ni masikini kuliko wachaga. Nna petha jedima sheija mbure
 
Hao walipokuja same walikuja na wasomali ambao walidharaulika ndio waliitwa wambugu na kulikuwa na Vita ambayo mpaka Leo Kuna eneo linaitwa kava mbughu . Wanaojua zaidi wataeleza kuhuhusu kava mbughu
Yeah Hilo eneo nshawahi kuliskia .... me nimezaliwa same ..Ila kiasili ni mchaga
 
Kwa utafiti ulioufanya sijui kama ulipata majibu sahihi, maana wachaga nao Wana akili mno!!! Na hata kama hajasoma Wana akili ya utafutaji tofauti na wapare ni wazito kujiahughulisha!!!
 
Kwa utafiti ulioufanya sijui kama ulipata majibu sahihi, maana wachaga nao Wana akili mno!!! Na hata kama hajasoma Wana akili ya utafutaji tofauti na wapare ni wazito kujiahughulisha!!!
mtoa mada amelenga kuendeleza utani baina ya wapare na ndugu zao wachaga. kwa uelewa kila jamii hapa tz na ulimwenguni kwa ujumla ina watu wenye sifa mbalimbali[mbaya na nzuri] zikiwemo sifa za akili, uchapakazi, wizi, uvivu, nk nk.
 
Sijutii kumjua mpare wangu, yaan yuko smart kwa kila kitu.
Wapare mmebarikiwa kwa kila kitu, hongereni sana.
 
Back
Top Bottom